Mwisho kamili wa simu za Nokia

Mwisho kamili wa simu za Nokia

Nijuavyo nokia hawajawahi kui dump symbian os,hata kwenye hz nokia asha series si wametumia symbian os.???

Hata hivo hii os imekaa kizaman na inafaa kwa vsmu vdogo hvohbo

hapana asha ni nyengine na symbian ni nyengine. kwa s60v3 ambayo ni symbian zisizo za touch simu za mwisho ni c5 na e5 zilitoka mwaka 2010 baada ya hapo hakukutoka tena symbian za aina hio (kuna remake ya c5 ya 2011).

kwa symbian touch simu ya mwisho ni nokia 808 ambayo imetoka 2012, hadi leo hakuna simu ambayo imekuwa matured kama hii.

symbian iliuliwa na ceo wa kimarekani asiekua na taste ya simu.
 
Nijuavyo nokia hawajawahi kui dump symbian os,hata kwenye hz nokia asha series si wametumia symbian os.???

Hata hivo hii os imekaa kizaman na inafaa kwa vsmu vdogo hvohbo
Mkuu hii ya kwenye vinokia vidogo sio Symbian, hivi vinatumia Nokia Series 40 (S40) operating system, hizi icon zisikuchanganye maana hata icon za MeeGo na Symbian pia zinafanana
 
Mkuu Ukisema hivyo wantoa machozi naipenda sana N70 yangu sasa sijui haitafanya kazi tena jamani
Mkuu yangu nilinunua 2009 hadi juzi tu nikaibiwa. Lakini haijawahi sumbua hata kidogo, mbaya zaidi madukani hazipo. Siku moja nikaingia web ya nokia ndio nikakuta wameiita. "N70 the best ever" niliinjoi sana!
 
Namaanisha miundombinu watakuwa wanabuni design wenyewe na material ya simu watakuwa wanatumia ya kwao kifupi watakuwa na hardware zao wenyewe hawatawategemea tena nokia au?
 
Namaanisha miundombinu watakuwa wanabuni design wenyewe na material ya simu watakuwa wanatumia ya kwao kifupi watakuwa na hardware zao wenyewe hawatawategemea tena nokia au?

watu washauziana hakuna kutegemeana tena kila mtu kivyake vyake na biashara zake.
 
Mkuu yangu nilinunua 2009 hadi juzi tu nikaibiwa. Lakini haijawahi sumbua hata kidogo, mbaya zaidi madukani hazipo. Siku moja nikaingia web ya nokia ndio nikakuta wameiita. "N70 the best ever" niliinjoi sana!

kariakoo kuna duka wanauza used elf85 pia kuna duka mtaa wa msimbazi mpya n73 kwa laki2
 
Wapendwa nnakapc kangu aina ya dell e6400, inanigomea kuingiza charge ila nnaweza kutumia Kama desk top.
Naomba kufahamu tatizo, je Ni adaptor battery charging system au umeme ninaoutumia?
 
Wapendwa nnakapc kangu aina ya dell e6400, inanigomea kuingiza charge ila nnaweza kutumia Kama desk top.
Naomba kufahamu tatizo, je Ni adaptor battery charging system au umeme ninaoutumia?


Hiyo battery 🔋 ina tatizo
 
Nakumbuka kipindi kile NATIONAL walivyojibadili jina kuwa PANASONIC, ingawa kampuni ilikuwa ileile lakini bado tu mtu ukinunua redio ya PANASONIC unajihisi umenunua product tofauti.

Hawa walifanikisha kwasababu jina PANASONIC lilikuwa na Mvuto kuliko National, Lakini kwa upande NOKIA sidhani kama jina litasahulika.
 
Back
Top Bottom