Mwisho kamili wa simu za Nokia

Mwisho kamili wa simu za Nokia

wamba micosoft wamennua fctions Fulani zaNokia ili wazite kweny biashra zao nakumfanya Nokia afny shughulizngi kaha hiz alizoa; kishaMicrooft wanfut atumizi yamanunuzi yake ilali Noki hfanyi tena. Huoni ndiomwzo wa mwiso waNOia?

Andika kwa kiswahili kaka!!! Hii lugha ngumu!!
 
Andika kwa kiswahili kaka!!! Hii lugha ngumu!!
Mkuu, mbona umeachwa nyuma sana? tatizo hilo lilishatolewa maelezo kwamba key board ndiyo shida, na wezako wameelewa na kusahau kitambo, wewe ndo unaibuka leo? Hapo hapaitaji lugha bali kutibu umasikini. Fungua mara kwa mara JF threads usiachwe nyuma mkuu.
 
mwakani mwezi wa 12 nokia anaruhusiwa kutoa simu mpya. imebaki miez 13 tu.

Mkuu hebu ufafanuzi kidogo, anawezaje kutoa simu ili hali viwanda vyote vya simu kauza kwa Microsoft, au naye ataanza kufanya kama Google
 
blackberry sio WINDOWS PHONE.. hata hizo nokia zenye microsoft WINDOWS OS ni hizi za hivi karibuni (lumias n the like).... previously zilikuwa zinatumia symbian tech na meego..
.....
Tuache utani symbian OS ilikuwa kiboko, walivyoiua tu na kuja na WP na milumia yao nikawapa nokia mkono wa kwa heri
 
Mkuu hebu ufafanuzi kidogo, anawezaje kutoa simu ili hali viwanda vyote vya simu kauza kwa Microsoft, au naye ataanza kufanya kama Google

ukitoa samsung, sony na nokia waliobakia sidhani kama wana viwanda

apple mwenyewe anatumia foxconn.

hivyo kwenye kutengeneza simu sio issue ila tabu ipo kwenye kudesign sababu hakuna workforce ya kutosha.

ila nokia wana advantage moja kwamba wale maguru wao alipokuja elop waliacha kazi hivyo wapo finland bado wanaweza ku recruit upya. na pia ipo jolla wanaweza kui acquire.

jambo jengine zuri ni kwamba research department bado ipo na nokia, na hawa jamaa nafkiri unawajua product zao hivyo huenda nokia akaja na kitu kisichoexist duniani
 
ukitoa samsung, sony na nokia waliobakia sidhani kama wana viwanda

apple mwenyewe anatumia foxconn.

hivyo kwenye kutengeneza simu sio issue ila tabu ipo kwenye kudesign sababu hakuna workforce ya kutosha.

ila nokia wana advantage moja kwamba wale maguru wao alipokuja elop waliacha kazi hivyo wapo finland bado wanaweza ku recruit upya. na pia ipo jolla wanaweza kui acquire.

jambo jengine zuri ni kwamba research department bado ipo na nokia, na hawa jamaa nafkiri unawajua product zao hivyo huenda nokia akaja na kitu kisichoexist duniani

Nitawamis Nokia kwa uimara wa simu zao, maana Simu zinatufaa sana watu wa dunia ya tatu ambao hatuna bajeti za simu za mara kwa mara.
 
ukitoa samsung, sony na nokia waliobakia sidhani kama wana viwanda

apple mwenyewe anatumia foxconn.

hivyo kwenye kutengeneza simu sio issue ila tabu ipo kwenye kudesign sababu hakuna workforce ya kutosha.

ila nokia wana advantage moja kwamba wale maguru wao alipokuja elop waliacha kazi hivyo wapo finland bado wanaweza ku recruit upya. na pia ipo jolla wanaweza kui acquire.

jambo jengine zuri ni kwamba research department bado ipo na nokia, na hawa jamaa nafkiri unawajua product zao hivyo huenda nokia akaja na kitu kisichoexist duniani

OK, tusubiri, ila kama watarudi ingekuwa poa sana wakafufua symbian OS, hii OS nimeifeel kuliko OS nyingine yoyote
 
Tuache utani symbian OS ilikuwa kiboko, walivyoiua tu na kuja na WP na milumia yao nikawapa nokia mkono wa kwa heri

We are sharing some incommons mkuu.. wakati lumia zinaanza ..nlijaribu lumia 520.. doooh.. nkamsukumizia shemeji yako aisee it lost the nokia taste i used to feel.. previously nokia ndio zilikuwa choise yangu.. nshatumia nokia model kibao bila kuzikinai wala kuwa na compains . Ila sasa daah.. so saaaad
 
Unafikiri hawana mipango na mikakati katika maamuzi wanayotoa?

Kama unao uwezo wa kuelewa hilo, basi huna sababu ya kuwashangaa kwa nini wamefanya hivyo. Biashara ni mikakati mkuu.
 
Kama unao uwezo wa kuelewa hilo, basi huna sababu ya kuwashangaa kwa nini wamefanya hivyo. Biashara ni mikakati mkuu.

mi nataka kujua kama microsoft wataendelea kuzi support sim za Nokia s40 ama wataendelea na Lumia na Asha tu kuzisupport.asante
 
Kijiji cha Nokia nadhani ndio kijiji maarufu kuliko vijiji vingi Uholanzi. Kwa heri nokia

Asili ya Nokia ni Finland mkuu. Si Uholanzi.Na hata wanaotaka kuidharau Nokia hawajui Asili ya Nokia na mipango mkakati yao. Nawashauri wajiongeze kidogo.
 
Nani kasema? Hii coming soon.... Touch version ya the very praised Nokia 3310!
 

Attachments

  • 1414694636686.jpg
    1414694636686.jpg
    23.3 KB · Views: 249
Tuache utani symbian OS ilikuwa kiboko, walivyoiua tu na kuja na WP na milumia yao nikawapa nokia mkono wa kwa heri

Nijuavyo nokia hawajawahi kui dump symbian os,hata kwenye hz nokia asha series si wametumia symbian os.???

Hata hivo hii os imekaa kizaman na inafaa kwa vsmu vdogo hvohbo
 
Back
Top Bottom