Mwimbaji wa Uganda Lady Mariamu yuko wapi?

Sio wimbo wa mambo bado. Chameleone
Hapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.

Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.

Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?

Niliskia ni ya chameleon
 
Huyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...

Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo

Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari

mbona waganda bado wapo hot sema tu siku hizi hakuna acts wakubwa wanaoimba lugha zinazoeleweka bongo kama zamani mfano Goodlife, Jackie chandiru, Blue 3, Chameleon

Ila bado wapo vizuri kwenye production ya muziki wao haswa quality videoz na pia wana acts kama Eddy Kenzo, Azawi, sheebah etc ambao bado wanahit East Africa nzima
 
mbona waganda bado wapo hot sema tu siku hizi hakuna acts wakubwa wanaoimba lugha zinazoeleweka bongo kama zamani mfano Goodlife, Jackie chandiru, Blue 3, Chameleon

Ila bado wapo vizuri kwenye production ya muziki wao haswa quality videoz na pia wana acts kama Eddy Kenzo, Azawi, sheebah etc ambao bado wanahit East Africa nzima
Uganda kwa sasa nawajua wachache sana ..
Hao uliowataja tu sana sana eddy kenzo
Ila sema jamaa audio zao zilikuwa na quality Kali sanaaa yaani inaskika vizuri .
Ni kama audio quality za wale jamaa wa makhirikhiri.. Zilikuwa zinaskika maskioni vizuri sanaa
 
Uganda kwa sasa nawajua wachache sana ..
Hao uliowataja tu sana sana eddy kenzo
Ila sema jamaa audio zao zilikuwa na quality Kali sanaaa yaani inaskika vizuri .
Ni kama audio quality za wale jamaa wa makhirikhiri.. Zilikuwa zinaskika maskioni vizuri sanaa

kwa sasa huwajui maana hawafanyi sana collabo na watanzania kama zamani.
maana watu wengi ukiwauliza kuhusu juliana watakutakutajia usiende mbali, haturudi nyuma na kidooogo nabikoowa

ila major hits zilikuwa ni collabo, msanii kama Azawi hajafanya collabo na msanii wa bongo ila ana quality music. Kasikilize quinamino maana naamini utakuwa ushaiskia
 
Waliitwa obsession
Hapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.

Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.

Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?

Niliskia ni ya chameleon
 
Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...

Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo

Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
Mbalala Uganda siyo mbarari mkuu
 
Hapana sidhani kama ndio hao kina Cindy?
Nafkiri ni wengine walikuwa miaka ya nyuma kidogo.

Pia kuna yule.jamaa aliefatiki Radio alikuwa na kipaji sana.

Halafu mnisaidie ile sign nyingi video zikiisha inaandikwa " tugende tukole " halafu linafata "Leon island" ni ya nani?

Niliskia ni ya chameleon
Ni ya Dr Jose Chamelione
 
hapo 2004 mpaka 2010.

kulikuwa na competition kubwa sana kimuziki kati ya hizi nchi tatu,nakumbuka ilikuwa ukitune channel 5,ni hit kwa hiti mixer,ila siku hizi daaah.

kenya ndio kabisa wamepotea kwenye ramani,afadhali hata uganda wanalisha soko lao la ndani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom