Mwili wa Ismail Omar hautafika NMC?

Mwili wa Ismail Omar hautafika NMC?

Status
Not open for further replies.
Geza ulole umeandika " Uislamu hausemi hivyo ndg!"

Geza ulole jee unaweza kutufafanulia kwa ushahidi wa aya/ hadithi uislam unasemaje kuhusiana na mazishi ya muislam ?
 
Sorry Kuingilia Issue ambazo hazinihusu......
lakini tukumbuke marehemu (RIP) hakupoteza maisha akiwa anapigana vita vya dini......(wala hatujui alikuwa ni mfata dini kiasi gani)..., tunachojua alifariki akiwa kwenye maandamano na wenzake...., na WENZAKE HAO leo ndio wamejitolea kumuaga..... am I mistaken kusema kwamba I dont see any problem with that???
 
Sorry Kuingilia Issue ambazo hazinihusu......
lakini tukumbuke marehemu (RIP) hakupoteza maisha akiwa anapigana vita vya dini......(wala hatujui alikuwa ni mfata dini kiasi gani)..., tunachojua alifariki akiwa kwenye maandamano na wenzake...., na WENZAKE HAO leo ndio wamejitolea kumuaga..... am I mistaken kusema kwamba I dont see any problem with that???

Did anybody say there is a problem?

Point yangu kubwa ni kuwa uamuzi Wa mwisho ni wa familia yake, na wangetaka kufanya ni suala linalohusu dini zaidi kuliko "matakwa ya wenzake", ingelikuwa sahihi vilevile na si haki kwetu kuwaita wasaliti
 
Geza ulole umeandika " Uislamu hausemi hivyo ndg!"

Geza ulole jee unaweza kutufafanulia kwa ushahidi wa aya/ hadithi uislam unasemaje kuhusiana na mazishi ya muislam ?
hatuko hapa kutafsiri Qur'an tukufu ila kwa upeo wangu wa wastani nampinga Gaijin
 
Did anybody say there is a problem?

Point yangu kubwa ni kuwa uamuzi Wa mwisho ni wa familia yake, na wangetaka kufanya ni suala linalohusu dini zaidi kuliko "matakwa ya wenzake", ingelikuwa sahihi vilevile na si haki kwetu kuwaita wasaliti
Aliyewaita wasaliti amekosea sana, obvious Uamuzi ni wa familia, na anything they decide, should be accepted... hapa wahusika ni:-

  • Ndugu
  • Muhusika Mwenyewe... (maisha yake ya kila siku yatadetermine mwenendo wake....na since yaliyomkuta yalimkuta kwenye mapambano majumuiko fulani I think hata ndugu wamelipa na hili uzito)
Wengine wote tunajumuika nao kama ndugu na watanzania wenzao katika hii hali ngumu iiyowapata....
 
Aliyewaita wasaliti amekosea sana, obvious Uamuzi ni wa familia, na anything they decide, should be accepted... hapa wahusika ni:-

  • Ndugu
  • Muhusika Mwenyewe... (maisha yake ya kila siku yatadetermine mwenendo wake....na since yaliyomkuta yalimkuta kwenye mapambano majumuiko fulani I think hata ndugu wamelipa na hili uzito)
Wengine wote tunajumuika nao kama ndugu na watanzania wenzao katika hii hali ngumu iiyowapata....

Watu hatuko makini na uchaguzi Wa maneno yetu

Baada ya kuwaita 'wasaliti' akaja na 'bob marley anatumbuiza'
 
Watu hatuko makini na uchaguzi Wa maneno yetu

Baada ya kuwaita 'wasaliti' akaja na 'bob marley anatumbuiza'

Okay sorry now I get you kumbe kuna muhusika alipitiwa na maneno..... tumsamehe probably sababu ya huu msiba ndio umesababisha.... after all we all make mistakes....
 
Mkuu kitu kikifanywa kwa Fulani hakumaanishi kuwa ni sahihi

Muislam kumuombea dua mtu haoni tabu hata Kama haamini Mungu wake na ni the same kwa Mkiristo, haoni tabu kumuombea asiyemuamini Mungu anaemuamini yeye

Tatizo linakuja muislam Wa kawaida (asielazimika kiwadhifa) au mkiristo anapenda au anataka aombewe dua rasmi kupitia Mungu asiyemuamini?

Btw usichanganye tamaduni za kibedui na uislam

Btw kwa viwango vya nani Mujahidina ndio waislam bora? Some will tell you ni Waislam waliopotoka kwa kufanya uharibifu na kuuwa watu bure

Gaijin hapo nimekupata, mwisho wa siku lazima tukubaliane na matakwa ya watu wa karibu na marehemu. Maana wakati wengine wakiwa kwenye majonzi, wengine huo ndio mtaji kwao.

Lets learn to respect other peoples' wishes...its as simple as that, watu wa karibu na marehemu ndio watafanya uamuzi wa busara na sisi hatuna budi ila kukubaliana na wao.
 
CCM pick this person sababu ni Muislamu??? Kwahiyo watasema Maandamano yalikuwa ya Wakristo tuu?

CCM kweli wanampango wa kulifedhehesha taifa hili... Lakini Rais Mtukufu anapenda kwenda USA kuliko SAUD ARABIA
 
CCM pick this person sababu ni Muislamu??? Kwahiyo watasema Maandamano yalikuwa ya Wakristo tuu?

CCM kweli wanampango wa kulifedhehesha taifa hili... Lakini Rais Mtukufu anapenda kwenda USA kuliko SAUD ARABIA
hii post ilitumwa jana Mwili wa Ismail Omar ulikuwepo na umezikwa kwa heshima zote
RIP
 
1) wamewatoa kafara innocent people kwa kuwalazimisha kuandamana ili kutimiza matakwa yao ya kisiasa

2) wanapoliticize mazishi to create the shaheeds (Martys) out of their dubious political movement.

3) tamko la mtandao wa maaskofu ambao ulijengwa months before uchaguzi mkuu.

Mkiambiwa Mbowe Mafia mnabisha. This whole thing was a Chadema set up to polarize the country for their own political reason. Nice try, wabongo sio mafwala kiiiivyo. Naona ndugu zake marehemu Ismail wamegoma mwanawe kutumiwa Kama kafara ya chadema. Safi sana.

Mbuzi wa mayai ww. Wamekutumaa!? Umepotea rm
 
167717_1673406368783_1646147558_1560841_1969257_n.jpg


MSIBA: mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe, akiwa pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema, wakibeba mwili wa marehemu Ismail Omar ambaye alifariki januari 5 mwaka huu kwa kupigwa risasi na polisi akiwa katika maandamano ya chadema mjini Arusha: marehemu alizikwa leo Usa river baada ya kuagwa viwanja vya NMC mjini Arusha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom