It is confirmed, Chadema hawataki kushiriki ufisadi katika mazishi ya Ismail Omar!
Wanandugu bado walitaka kutwanga kotekote! Inavyoonekana waliahidiwa donge nono zaidi na ccm wakishirikiana na polisi. Hivyo jana usiku wakawaarifu Chadema kwamba marehemu Ismail Omar hatashiriki mazishi ya heshima ya kitaifa NMC.
Asubuhi hii ndugu hao wa Ismail wakawafuata Chadema mbio wakiwa wamepanic, eti sasa wamekubali kushiriki! Chadema wamekataa na watatoa tamko baadaye.
Hisia ni kwamba;
1. Ama ccm walikuwa na nia ya kuwatapeli kuvuta muda hadi tukio la NMC lipite kisha wawatelekeze,
2. Au ccm wamejitoa usiku baada ya hii thread kutinga JF wakagundua kwamba hakuna siri,
3. Au aliyetumwa kukabidhi mzigo alipiga panga la nguvu wanafamilia wakaona hazitoshi kuwapooza hasira ya wananchi kutokana na kuasi kwao,
4. Au wanafamilia wamegawanyika