Mwijaku ana immunity gani ya kumuwezesha kudhalilisha watu atakavyo?

Mwijaku ana immunity gani ya kumuwezesha kudhalilisha watu atakavyo?

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,787
Reaction score
8,115
Inamaanisha kuwa chawa wa CCM ndio kunampa ruhusa ya kudhalilisha watu atakavyo.

Japo kwa Tanzania kila kitu kinachukuliwa poa, ila kuwepo na ukomo wa udhalilishaji. Mwijaku amevuka mipaka ya udhalilishaji.

Kwa nchi zinazojielewa Mwijaku ilipaswa iwe keshasimamishwa kazi hapo Crown kwa udhalilishaji aliofanya.

Ana harass watu atakavyo na hakuna hatua yeyote anayochukuliwa.

Huyo Chuchu akipata wanasheria wazuri ana uwezo wa kum sue huyu mpuuzi for defamation and harassment.


View: https://www.instagram.com/reel/DLPqFZoIEPU/?igsh=ZWkydG14ZnQycTZi
 

Attachments

  • VID_20250623_105133_557.mp4
    39.8 MB
Inamaanisha kuwa chawa wa CCM ndio kunampa ruhusa ya kudhalilisha watu atakavyo.

Japo kwa Tanzania kila kitu kinachukuliwa poa, ila kuwepo na ukomo wa udhalilishaji. Mwijaku amevuka mipaka ya udhalilishaji.
Kwa nchi zinazojielewa Mwijaku ilipaswa iwe keshasimamishwa kazi hapo Crown kwa udhalilishaji aliofanya.

Ana harass watu atakavyo na hakuna hatua yeyote anayochukuliwa.

Huyo Chuchu akipata wanasheria wazuri ana uwezo wa kum sue huyu mpuuzi for defamation and harassment.


View: https://www.instagram.com/reel/DLPqFZoIEPU/?igsh=ZWkydG14ZnQycTZi

Ndio shida ya kuwapa air time machoko
 
1750702748174.png
 
Hii nchi ili u survive unapaswa ujitoe akili.

Angalia waliokuwa na akili timamu kama Mpina, wanasutwa hadharani mpaka na raisi, simply kwa kusema ukweli tu.

Watu kama Mwijaku sio wajinga, wamejua ku manipulate system kwa kujua udhaifu wake.

Washajua mfumo unapenda kusifia, basi wanasifia mpaka ushuzi wa mtu. Kupitia hili wanakuwa kipenzi cha mfumo, thus untouchable.

Tatizo sio la wapumbavu kama Mwijaku, tatizo ni CCM na mfumo wake wa kipumbavu.
 
Kwani huyo Mwambino huwa anakutana na watulivu au werevu, akutane na mie, namnyoosha harudii tena.

Tangu abokolewe kule Dubenga, sijui kawaje, kidogo hata baba levo hajalanduka sana, au yeye walitumia ndomu, ila kwa mwambino ikawa kavu kavu, kamiminiwa kojo zito, lina muwehusha ubongo, Lol

😂😂😂😂
 
Hii nchi ili u survive unapaswa ujitoe akili.

Angalia waliokuwa na akili timamu kama Mpina, wanasutwa hadharani mpaka na raisi, simply kwa kusema ukweli tu.

Watu kama Mwijaku sio wajinga, wamejua ku manipulate system kwa kujua udhaifu wake.

Washajua mfumo unapenda kusifia, basi wanasifia mpaka ushuzi wa mtu. Kupitia hili wanakuwa kipenzi cha mfumo, thus untouchable.

Tatizo sio la wapumbavu kama Mwijaku, tatizo ni CCM na mfumo wake wa kipumbavu.
Vyote tuu Mkuu,huwezi kuect Upumbavu kila siku,hiyo ni mpumbavu kwa Asili!
 
Inamaanisha kuwa chawa wa CCM ndio kunampa ruhusa ya kudhalilisha watu atakavyo.

Japo kwa Tanzania kila kitu kinachukuliwa poa, ila kuwepo na ukomo wa udhalilishaji. Mwijaku amevuka mipaka ya udhalilishaji.

Kwa nchi zinazojielewa Mwijaku ilipaswa iwe keshasimamishwa kazi hapo Crown kwa udhalilishaji aliofanya.

Ana harass watu atakavyo na hakuna hatua yeyote anayochukuliwa.

Huyo Chuchu akipata wanasheria wazuri ana uwezo wa kum sue huyu mpuuzi for defamation and harassment.


View: https://www.instagram.com/reel/DLPqFZoIEPU/?igsh=ZWkydG14ZnQycTZi

Ana figure
 
Back
Top Bottom