Muhamasishaji ndio huyo keshapatikana, mambo yameanza kwa mashabiki na viongozi wote wameshahamasishwa watembee uchi mitaa ya Mwenge hadi Kawe.
Kama haitoshi kasema kabisa tuwapige mawe hadi mjifie hayo sio maneno yangu ni maneno ya muhamasishaji wenu.
Tunasubiri ahamasishe wapi mtaanza kua mnavulia nguo ili muanze huo msafara wa kutembea uchi huku mkiongozwa na Mwijaku mwenyewe muhamasishaji wenu.
Sisi Yanga bila hiyana tutakuwa tunawaangalia kwenye TV hadi mnapomaliza zoezi lenu kama muhamasishaji alivyosema na tunawatakia kila la kheri.
Kama haitoshi kasema kabisa tuwapige mawe hadi mjifie hayo sio maneno yangu ni maneno ya muhamasishaji wenu.
Tunasubiri ahamasishe wapi mtaanza kua mnavulia nguo ili muanze huo msafara wa kutembea uchi huku mkiongozwa na Mwijaku mwenyewe muhamasishaji wenu.
Sisi Yanga bila hiyana tutakuwa tunawaangalia kwenye TV hadi mnapomaliza zoezi lenu kama muhamasishaji alivyosema na tunawatakia kila la kheri.