Mwigulu: Wananchi wanaenda kupata fedha nyingi, watazoea makato

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Huyu ndiye PhD holder wa uchumi!!! "It is a pity to have such leaders"!
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Nashauri wabunge malipo yao kwa mwezi kuanzia mshahara hadi posho isizidi milioni 4, kile kinachozidi kihamishiwe huko
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Hii inadhihirisha kuwa viongozi tulionao wamechoka kufikiri na kutafiti. Ni wakati muafaka kwao kuachia ngazi.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Swali fikirish Kwanini mlikuwa hamlipi madeni
 
"pesa ya bure bure/ nyingi mtaani zilikuwa za mafisadi na wauza unga" ....... Mwigulu alikuwa akizema hivyo enzi za Magufuli.
 
Hawa watu wamelewa madaraka na wamebaki kukebehi watu. Wanaona kila mtu asiyekuwa kiongozi ni mjinga na unaweza kumdanganya kadiri unavyotaka. Kwa nini wasisubiri kwanza wananchi wapate hizo fedha ili waanze makato? Upole na woga wa watanzania umefanya viongozi wafanye wanavyotaka!

Ni taabu sana na wasomi wetu - badala ya kutetea uhalali wanachokifanya wao wanatumia muda kuelezea matokeo na matarajio ya wanachokifanya. Hovyo sana!

Yaani kuzoeleka kwa tozo ndio uhalali wake? Ee Mungu.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka

Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi

Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha

View attachment 1857046
Wakafie mbali huko
 
Tulifurahia mindege kununuliwa kwa malipo cash. Sasa cash ndo tunairejesha hazina kwa style hiyo ya solidarity fund. Donor contre sasa imegeuka kuwa solidarity contre
Ndege tulilipa kwa dollars hizi hela za nauli zann?
 
Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
Kwani JPM aliwezaje kupata pesa za miradi hiyo. Kuhusu barabara kuna Road Fund ilianzishwa wakati wa Mkapa. Income tax inafanya kazi gani? Sales Tax zinafanya kazi gani? Kabla ya Rais SSH Serikali ilikuwa inapata wapi pesa? Huwezi kuwaacha wafanya biashara walipe wanazotaka lakini unachukua double taxation kutoka kwa walalahoi - Aibu!
 
Back
Top Bottom