Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,009
- 9,874
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha