Mwigulu umedhalilisha Taaluma ya Ualimu

Mwigulu umedhalilisha Taaluma ya Ualimu

BSF fly

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
344
Reaction score
126
Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine,Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.

Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee,mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.
 
Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine.Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee.Mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.

Huyo ndie Economist First Class na mwenye kusifiwa sana na M/Kiti.
 
Mwigulu Taaluma ya Ualimu ni Taaluma kama Taaluma zingine.Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa Pedagogy of Teaching.Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee.Mtu kama injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala sana wewe.

Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?
 
Haya ndio mawazo ya vijana walioteuliwa na JK ambayo yanasaidia kuwaangamiza wadogo zetu walio mashuleni.
 
Ila mwalimu kama Mtela Mwampamba unategemea nini??????
 
unajua kama hujui kitu bora unyamaze bwana mwigulu hajui kuwa katika taaluma ya ualimu kuna mambo mengi.
 
Wana jf tunaweka chuki tunapochambua hoja ya mwigulu. Hili wazo ni mhimu sana kwani amesema kuliko kusubiri walimu mpsks wamalize ndio waajiriwe ni bora kuwachukuwa wataalam ambao wapo tu hawana kazi. Lipi bora mwsnsfunzi kujisomea hesabu au kufundishwa na mhandisi. Acheni kuwaza kizamani na chuki ndani
 
usiumize kicwa uhayi wa nyavu ni matundu huo ndo uhayi wa ccm wameishiwa mawazo
 
Mwigulu Taaluma ya Ualimu
ni Taaluma kama Taaluma zingine.Unaposema kila Mtu mwenye Shahada ana
uwezo wa kufundisha unakosea tena sana.Kuna kitu kwenye ualimu kinaitwa
Pedagogy of Teaching.Kufundisha ni Taaluma unayotakiwa usomee.Mtu kama
injinia asiye jua hata moja kuhusu Preparation of Teaching,Teaching
Aids,Leason Plan,Scheme of work atafundisha vipi?,we unafikiri
kufundisha ni kujua tu kilichopo kwenye Vitabu?,We mbunge unamasiala
sana wewe.

we mburula kweli. unafikiri mwigulu ameongelea walimu wa primary? hao wenye shahada watashindwaje kuandaa lesson plan na scheme of work?
 
Mwigulu ni MR KNOW ALL, Bila shaka kuna siku atakwaa kisiki kwa wakubwa wenzie maana for the time being anaona wenzake wasiokuwa karibu na Kikwete si mali kitu.
 
Hivi tatizo ni shortage ya waalimu au hata wale waliopo hawapewi maslahi yao ?

Kuna kitu kinaitwa effective na efficient.., hata kama hao ma-injinia, ma-lawyer au hata madaktari hata kama wanaweza kufundisha kuliko waalimu wenyewe.., Je itakuwa efficient kwa wao kufanya kazi ambao hawakuisomea ?, Na je kuwepo kwa vyuo vya ualimu kuna manufaa gani kama yoyote yule mwenye shahada anaweza akatoa elimu ?

In short huyu jamaa leo ameongea vapour...., waste of space....
 
we mburula kweli. unafikiri mwigulu ameongelea walimu wa primary? hao wenye shahada watashindwaje kuandaa lesson plan na scheme of work?
Usitetee hata usichokijua lesson plan na scheme of work ni professional documents kuna kozi yake si kitu cha kuambiwa siku moja na kukielewa inahitaji practice kabla ya kukitumia darasani.
 
Wana jf tunaweka chuki tunapochambua hoja ya mwigulu. Hili wazo ni mhimu sana kwani amesema kuliko kusubiri walimu mpsks wamalize ndio waajiriwe ni bora kuwachukuwa wataalam ambao wapo tu hawana kazi. Lipi bora mwsnsfunzi kujisomea hesabu au kufundishwa na mhandisi. Acheni kuwaza kizamani na chuki ndani
Wewe pia ni KILAZA, hapa hakuna mwenye chuki na mwigulu ila tunalisidia taifa, serikali inashindwa kuwaajili hao wahandisi kwenye fani walizosomea inataka wawe walimu,???? Majengo yanaanguka huko mijini, barabara mbovu kwa kukosa wakandarasi au wanataka madiwani wa ccm ndio wawe wakandaras kama yule mwenye kampuni iliyojenga jengo lililoua pale dsm?? Hiyo ni moja, pili unadhani ualimu kila mtu akiwa na shahada tu basi ashakua mwalimu??? Kila mzazi asingethubutu kumpeleka shule kwan anaweza somea hata home .... Tena ufute kauli yako
 
Mwigulu mimi hata aseme kibaya gani nitamsamehe tu kwa sababu najua ndio alivyo na hata ufanyeje hawezi kubadilika. Tukubali kuwa Mungu alimuumba akiwa kichwa maji basi.
 
Usitetee hata usichokijua lesson plan na scheme of work ni professional documents kuna kozi yake si kitu cha kuambiwa siku moja na kukielewa inahitaji practice kabla ya kukitumia darasani.

Huyo pimbi nilitaka kumjibu,naona umenisaidia.Jitu linakurupuka tu kama haja.....!
 
Hivi chuo cha Ma-lecturers kiko wapi vile?
We ni zaidi ya boya au kilaza, kwani lecturer ni mwalimu nae? Check na kamusi mzee. Ccm imekulemaza sana ww na bila shaka ww ni product ya shule za kata, vitu vingine wapinzani wanaongea ukweli mtupu. Jamani huyu jamaa atasababisha kama yale ya arusha wale wamasai waliotaka kumkabidhi kadi za ccm
 
Back
Top Bottom