Skafu hadi msibani...ni kweli unaipenda Tanzania kutoka moyoni...aaa!! bwana acha hizo.
kutokujua ushamba ndio ushamba wenyewe, hata huitaji kuwaza sana ili kugundua mshamba ni EasyFit
Skafu hadi msibani...ni kweli unaipenda Tanzania kutoka moyoni...aaa!! bwana acha hizo.
Kwani kombati ni sawa na skafu? ulitaka aje uchi? akija mjeshi/polisi na magwanda yake utasemaje?anyway yaonekana una upeo mdogo sana,kuanzia leo elewa hivi hilo gwanda alilovaa mnyika kwetu chadema ni vazi la kazi kama unavyomuona mjeshi au askari polisi amevaa gwanda ..kawaeleze na wenginembona mnyika ametinga kombati la CDM, au hamulioni?. Au ni ile: kuku kanya, akinya bata, kaharisha?.
Kazi ipo!Ni ulimbukeni uliobobea.Kila penye kusanyiko la watu anafikiri ni mkutano wa kampeni akipewa chansi ya kuongea achelewi kusema chagua KANUMBA. Ndio maana vijana wa Meru walimfinya.
kwa hiyo kuvaa magwanda ndio uzalendo kwako na kuvaa skafu ya bendera ya taifa sio uzalendo..!kuna tatizo flani kichwani kwako aisee si bure
Na amekuwa na tabia ya kuvaa hivi kwa muda mrefu, wala hajaanzia hapo kwenye msibaSidhani kama hilo ni kosa
Amekufa mtanzania
Waombolezaji ni watanzania bila kujali itikadi
Afadhali yeye kuliko wanaovaa scarf na bandana za bendera ya Marekani
Join Date : 1st April 2012Sidhani kama hilo ni kosa
Amekufa mtanzania
Waombolezaji ni watanzania bila kujali itikadi
Afadhali yeye kuliko wanaovaa scarf na bandana za bendera ya Marekani
Ushamba skafu anavaa wakati wanaimaliza nchi