Skafu hadi msibani...ni kweli unaipenda Tanzania kutoka moyoni...aaa!! bwana acha hizo.
Ndiyo lakini kuna sehemu na sehemu ya kuvaa si kila mahali.
hata mimi namshangaa huyu jamaa..angekuwa mzalendo asinge kuwa MAGAMBA
hata mimi namshangaa huyu jamaa..angekuwa mzalendo asinge kuwa MAGAMBA
Mkuu mbona akina myika wametimba na magwanda yao kwenye msiba, huo nao ni ushamba?
wakati mwingine personal attack zinashusha hadhi yako.......just saying
View attachment 51325
unene wa kifisadi huoHalafu Miguu Chemba kama amevimba uso vile,Ngeu za Arumeru East nini?
ameongelea skafu, kama angeongelea nguo na wewe si ungeongelea nguo? una uwezo wa kuchambua mambo kweli?