Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,272
Tatizo ni kuwa viongozi wengi serikalini wamedanganya elimu zao. Na vilevile hakuna sheria inayowabana wala kuchukuliwa adhabu pindi wanapobainika. Na hill limrchangia sana.kwenye utekelezaji mbovu serikalini. Vilevile hawana uchungu na elimu.
Kweli mkuu. Eti watu kama kina Mulugo wamekwea mpaka uwaziri kwa vyeti vinavyotiliwa mashaka n wakadumu hapo kwa miaka pamoja na malalamiko lukuki