Mwigulu Nchemba wadanganye wasiokujua

Mwigulu Nchemba wadanganye wasiokujua

Kwani uliwai kumusikia kawawa anajitangazia elimi take?? Hapa hoja ni kweli mwigulu ni mchumi WA daraja la Kwanzaa!!
Bado naamini kuwa hata kama kadanganya lakini ukweli unabaki kuwa uwezo wa nafasi aliyonayo anao
 
Umenisemea..! Na ya SUGU iwekwe hapa tuone kama walimaliza form four!

Hawajamaliza form four lakini ni kiboko ya maCCM, ni wabunge wa majimbo ambayo ni one of the richest in Tanzania na yenye wasomi wengi.

Mlete professor wako yoyote mwizi na kibaka wa CCM uone kama atashindana nao.

Elimu maana yake nini, kuna watu walikaa wakakubaliana kuwa mtu akikaa darasani akasoma kwa muda fulani tuseme ameachieve this, ni watu, ni watu, ni watu...kumbe mtu anaweza asipite kwenye mfumo huo wa watu na bado akawa ni genious

Elimu ni maarifa aliyonayo mtu yanayomwezesha kuyamudu mazingira yake, wakulima wa pamba mwanza walipata wapi degree, mbona they earn millions of money na wanamudu familia zao na wana impact kwenye uchumi wa nchi kuliko hata hao wasanii wako wa CCM, ambao wapo madarakani kuangamiza uchumi wa nchi.
 
Umenena kaka. Kwa mtu yeyoye msomi na mwenye kuona mbali huwa hajidai na elimu yake. Mwigulu ni unaomsumbua ni USHAMBA na hii inatokana na sehemu aliyokulia na malezi gani alipata. Vilevile tukumbuke kuwa pamoja na kielimu chake kidogo alichonanacho hakutegemea kufika hapo alipo. Kwa hiyo kwake ni ndoto na ndoto zikizidi inakuwa fujo ukiwa usingizini. Maana muda mwingine unaweza ukaota unapiga mpira na kweli unarushia mateke uliyelala naye.
 
Hapo unaposema alikuwa tawi la Arusha umedanganya sana.......intelijensia ya Chadema imefeli hata habari za ufaulu huna data kwani umshndwa kutuambia point alizopata, punguza kuishi na hasira moyoni utakufa na kihoro.......Mnyika alikiri kudisko mwaka wa 2........au unabisha?
tumia ubongo katika kufikiri, wapi Mnyika alikiri ku'disco?? mnyika aliacha hakudisco
 
Khaaa elimu yake imesaidia nini taifa hili ..deni la taifa lakaribia trillion 30 mmmmmhh bora kipindi cha mzee mtei
 
Majiniaz huwa hawajitangazagi - ukiona mtu anajifagilia kwa lolote lile ujue hamna kitu mule!!
 
maelezo kuhusu degree ya pili kuwa hakuPata 1st class hayajajitosheleza, rudi katafute evidence uje upya. Pia ilete CV iliyopo kwenye tofuti ya bunge uweke hapa tuone wapi unaposema kadanganya.. Ulete pia CV ya mbowe na lema

CV ya Mbowe na Lema za nini? Kwani wao wamejigamba hadharani kuwa wasomi kama Savimbi? Savimbi yeye kajitangaza hadharani kuwa yeye ni miongoni mwa wasomi bora kama wakichukuliwa watano wa rika lake naye yumo. Alisema kuwa alikuwa mwanafunzi bora katika shahada ya kwanza na ya pili hivyo yeye ndiye kaleta mjadala! Kama unataka CV za Mbowe na Lema pekua tuvuti ya bunge utazikuta huko usitake kupotosha mada kwa kuepushia kwa wasiokuwamo. Kwanini huwa mnajibu hoja kwa kuhamisha mwelekeo?
 
Jk amemfuta kazi naibu waziri wa elimu kwa kufoji, wakati huo huo amempa unaib waziri Mwigulu aliye foji, hii ndo serikali yet dhaifu ilivyo, hapo unategemea nini?
Mwingulu haja foji vyeti,amesoma vizuri tu hata mtoa mada hajapinga elimu yake,so tuwe makini kidogo,
 
maelezo kuhusu degree ya pili kuwa hakuPata 1st class hayajajitosheleza, rudi katafute evidence uje upya. Pia ilete CV iliyopo kwenye tofuti ya bunge uweke hapa tuone wapi unaposema kadanganya.. Ulete pia CV ya mbowe na lema

mSUKULE MMOJAWAPO HUYO HAPO JUU
 
Hawajamaliza form four lakini ni kiboko ya maCCM, ni wabunge wa majimbo ambayo ni one of the richest in Tanzania na yenye wasomi wengi.

Mlete professor wako yoyote mwizi na kibaka wa CCM uone kama atashindana nao.

Elimu maana yake nini, kuna watu walikaa wakakubaliana kuwa mtu akikaa darasani akasoma kwa muda fulani tuseme ameachieve this, ni watu, ni watu, ni watu...kumbe mtu anaweza asipite kwenye mfumo huo wa watu na bado akawa ni genious

Elimu ni maarifa aliyonayo mtu yanayomwezesha kuyamudu mazingira yake, wakulima wa pamba mwanza walipata wapi degree, mbona they earn millions of money na wanamudu familia zao na wana impact kwenye uchumi wa nchi kuliko hata hao wasanii wako wa CCM, ambao wapo madarakani kuangamiza uchumi wa nchi.

Well said mkuu. Wajinga bado wanaangalia ubora wa elimu kwa wingi wa vyeti na divisheni na si Uwezo wa mtu. Mimi huwa nawaambia mara kwa mara rais mstaafu wa Brazil alikuwa darasa la saba lakini ndiye aliyeiongoza nchi hiyo hadi kupata mafanikio makubwa sana kiuchumi. Hapa kwetu tuna rais ambaye amedai ni mchumi kwakuwa ana digrii ya uchumi kutoka chuo kikuu cha DSM. Kioja cha karne alipoulizwa kwanini nchi yako ni masikini pamoja na utajiri wa raslimali za asili ilizojaaliwa akajibu kuwa naye hajui. Baadae akawajibu waliokuwa wanalalamikia wingi wa safari zake za nje akasema anasafiri sana ili kuhemea vibaba(kuomba omba) ili wananchi wake wasife njaa. Huyo naye ni mchumi ila sijui atakuwa daraja la ngapi? Huyu limbukeni anayejitapa sasa kuwa ni mchumi dareja la kwanza ndiye anaye wafadhili watu kutengeneza kesi za kigaidi ili kupambana na wapinzani. Ukimsikiliza kauli na matendo yake utaona hata wale wanafunzi zaidi ya 5200 ambao serikali ilitangaza kuwa walifaulu darasa la saba na kuingia kidato cha kwanza huku wakiwa hawajui kusoma wana nafuu mara mia ya huyu. Mtu anaweza kwenda darasani hata miaka 30 na kupata mavyeti kibao lakini akatoka hajaelimika. Hao ndio kina Savimbi!
 
CV ya Mbowe na Lema za nini? Kwani wao wamejigamba hadharani kuwa wasomi kama Savimbi? Savimbi yeye kajitangaza hadharani kuwa yeye ni miongoni mwa wasomi bora kama wakichukuliwa watano wa rika lake naye yumo. Alisema kuwa alikuwa mwanafunzi bora katika shahada ya kwanza na ya pili hivyo yeye ndiye kaleta mjadala! Kama unataka CV za Mbowe na Lema pekua tuvuti ya bunge utazikuta huko usitake kupotosha mada kwa kuepushia kwa wasiokuwamo. Kwanini huwa mnajibu hoja kwa kuhamisha mwelekeo?

Mbowe basha shauri yako kwani naona unataka Bwana!
 
Mbona napata shida kidogo vijana ambao wamejipambanua viongozi mahiri kwenye chama ,elimu zao wadau wanasema zina uwalakini kuanzia Nchemba na January aliiba mtihani form 6.
 
Hebu nawe tuletee CV za wazazi wako tuzitafakari na kujua nini kilitokea kabla ya kukuzaa, maana unakera kwa kuleta hoja isiyokuwa mezani kila mara

Haiko mezan vp kwa sababu watu wamehoji CV ya kina sugu mbona ya Mwigulu mna hoji wacha ubwabwa wako hapa
 
leroy Hapo unaposema alikuwa tawi la Arusha umedanganya sana.......intelijensia ya Chadema imefeli hata habari za ufaulu huna data kwani umshndwa kutuambia point alizopata, punguza kuishi na hasira moyoni utakufa na kihoro.......Mnyika alikiri kudisko mwaka wa 2........au unabisha?

Kwa taarifa sahihi nilizonazo kwa classmate wa Mwigulu, Leroy amesema ukweli mtupu!!
 
Umenena kaka. Kwa mtu yeyoye msomi na mwenye kuona mbali huwa hajidai na elimu yake. Mwigulu ni unaomsumbua ni USHAMBA na hii inatokana na sehemu aliyokulia na malezi gani alipata. Vilevile tukumbuke kuwa pamoja na kielimu chake kidogo alichonanacho hakutegemea kufika hapo alipo. Kwa hiyo kwake ni ndoto na ndoto zikizidi inakuwa fujo ukiwa usingizini. Maana muda mwingine unaweza ukaota unapiga mpira na kweli unarushia mateke uliyelala naye.

Sio ushamba tu na utoto mwingi
 
Mbowe basha shauri yako kwani naona unataka Bwana!
Ukishafikia hatua hiyo ni kwamba umeishiwa hoja. Kwa mtu mzima busara ni kunyamza. Wahenga waliema "Bora unyamaze watu wadhani wewe ni mjinga kuliko uongee na kisha uthibitishe kuwa wewe ni mjinga"
 
Back
Top Bottom