Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu.

Kitu cha muhimu sana kwako kwa sasa, ni kuendelea kujibu hoja kama hizi kule kwenye like bandiko lako hili

Zitakusafishia njia, na sio kujibu kimipasho humu.
Ni ushauri tuu!
P
Huo uwezo Hana...na hataupata hata akipata PHD 20.
 
Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu.

Kitu cha muhimu sana kwako kwa sasa Mhe. Mwigulu, ni kuendelea kujibu hoja kama hizi kule kwenye like bandiko lako hili
Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020 - JamiiForums

Zitakusafishia njia, na sio kujibu kimipasho humu.
Ni ushauri tuu!
P

Swali la mipasho hupata jibu la mipasho Mayala. Ukitaka Econometric Analysis lete maada ya Uchumi sio mipasho.
MG
 
Jimbo la Iramba limekuwa na vita vikali kati ya Mwigulu Nchemba (Mbunge wa sasa aliyewahi kuwa Waziri pia) na Katibu Mkuu wa sasa Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo. Wasomi hawa wamekuwa na msigishano wa hapa na pale na kufanya Jimbo sasa kuangalia zadi watu waofaa badala ya kuangalia nini kinapaswa kufanyika kwenye Jimbo letu la Iramba.

Hivi karibuni kulitokea msiba wa mtu maarufu Dr. Mwigulu akiwa njiani kuelekea katika msiba huo baada ya kuambiwa kuwa Prof. kitila kishafika kule yeye akaghairi kwenda. Ajabu sana!

Sasa hawa watu wawili wameunda Timu zao za kutaka Jimbo na tayair wameshalalamikiana kufanyiana hujuma. Inashanagaza wanaangalia nafasi badala ya nini wanapaswa kukifanya kwa manufaa ya Jimbo.

Mwigulu ameunda timu abayo inaongozwa na Diwani wa kwenye Kata yake na yule Diwani wa Kinampanda. Mwigulu pia ametengeneza mtandao unaohusisha watu kama Richard Mkumbo - Mchumi mwenzie yupo Ofisi ya Makamu wa Rais, Kanali Mstaafu wa Jeshi Kitundu, Katibu Mkuu wa Wizara aliyejiudulu hivi karibuni yule Kingu. Mwigulu pia anaungwa mkono na Mbunge Viti maalum Martha Mlata na pia anafanya mawasiliano ya karibu na Mwanasheria Kitandu Ugula ambaye wapo naye Chamani na wanatoka Kata moja. Huyu anategemewa katika kuongoza mikakati ya kisheria katika kampeni zake.

Kundi la Prof. Kitila linaoenekana kujipanga zaidi kwani wale walioumizwa na Dr. Mwigulu wakati akigombea Mwaka 2015 wanaungana naye ili kuhakikisha wanamtoa kwenye ubunge. Kundi hili linajumuisha watu kama kina David Jairo (Katibu Mkuu wa zamani Madini na Nishati), Timothy Lyanga, Jumbe Katala, Jesca Kishoa (ambaye inadaiwa anasubiri Prof. Kitila alianzishe naye ahamaie CCM kumfuata muwe wake Kafulila). Kuna pia ambao wanaonekana kutokuwepo upande wowote, kwa mfano kuna Eng. William Shila ambaye anapanga mikakati mikali ya kuchukua Jimbo akifanya mawasiliano ya karibu na Diwani wa Ulemo nyumbani kwao Engineer huyu.

Kuna pia akina Juma Kilimba mwenyekiti wa CCM mkoa ambaye wanapambana kivyao na kuhakikisha wanachukua jimbo, Kilimba anadaiwa ana mtandao mkubwa Kitaifa.
Kundi la Prof. Kitila lina mikakati mizuri lkn limekuwa likikwama kidogo kupenya kwa WanaCCM kwa sababu ya Jimbo husika kuonekana lina UCCM mwingi....

Sent using Jamii Forums mobile app

Unamhitaj wewe na familia yako, huyu kada wa Act wazalendo anaanzaje ishinda ngome ya CCM? Kitila a.k.a piere endelea kuchapa kaz wizarani mzee sawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni tapeli na mwizi taarifa zake tunazo kwao aliambulia kujenga kilabu cha pombe. Ana roho mbaya sana huyu hawezi kuwa mbadala wa Mwigulu. Mwambieni aendelee na wizi wake kwenye ukatibu mkuu
ETI mkuu ilikuwaje Jpm akamtema Mamba
Alituambia ni mtu WA hovyo hovyo
 
Wote hawamo
Jimbo la Iramba limekuwa na vita vikali kati ya Mwigulu Nchemba (Mbunge wa sasa aliyewahi kuwa Waziri pia) na Katibu Mkuu wa sasa Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo. Wasomi hawa wamekuwa na msigishano wa hapa na pale na kufanya Jimbo sasa kuangalia zadi watu waofaa badala ya kuangalia nini kinapaswa kufanyika kwenye Jimbo letu la Iramba.

Hivi karibuni kulitokea msiba wa mtu maarufu Dr. Mwigulu akiwa njiani kuelekea katika msiba huo baada ya kuambiwa kuwa Prof. kitila kishafika kule yeye akaghairi kwenda. Ajabu sana!

Sasa hawa watu wawili wameunda Timu zao za kutaka Jimbo na tayair wameshalalamikiana kufanyiana hujuma. Inashanagaza wanaangalia nafasi badala ya nini wanapaswa kukifanya kwa manufaa ya Jimbo.

Mwigulu ameunda timu abayo inaongozwa na Diwani wa kwenye Kata yake na yule Diwani wa Kinampanda. Mwigulu pia ametengeneza mtandao unaohusisha watu kama Richard Mkumbo - Mchumi mwenzie yupo Ofisi ya Makamu wa Rais, Kanali Mstaafu wa Jeshi Kitundu, Katibu Mkuu wa Wizara aliyejiudulu hivi karibuni yule Kingu. Mwigulu pia anaungwa mkono na Mbunge Viti maalum Martha Mlata na pia anafanya mawasiliano ya karibu na Mwanasheria Kitandu Ugula ambaye wapo naye Chamani na wanatoka Kata moja. Huyu anategemewa katika kuongoza mikakati ya kisheria katika kampeni zake.

Kundi la Prof. Kitila linaoenekana kujipanga zaidi kwani wale walioumizwa na Dr. Mwigulu wakati akigombea Mwaka 2015 wanaungana naye ili kuhakikisha wanamtoa kwenye ubunge. Kundi hili linajumuisha watu kama kina David Jairo (Katibu Mkuu wa zamani Madini na Nishati), Timothy Lyanga, Jumbe Katala, Jesca Kishoa (ambaye inadaiwa anasubiri Prof. Kitila alianzishe naye ahamaie CCM kumfuata muwe wake Kafulila). Kuna pia ambao wanaonekana kutokuwepo upande wowote, kwa mfano kuna Eng. William Shila ambaye anapanga mikakati mikali ya kuchukua Jimbo akifanya mawasiliano ya karibu na Diwani wa Ulemo nyumbani kwao Engineer huyu.

Kuna pia akina Juma Kilimba mwenyekiti wa CCM mkoa ambaye wanapambana kivyao na kuhakikisha wanachukua jimbo, Kilimba anadaiwa ana mtandao mkubwa Kitaifa.
Kundi la Prof. Kitila lina mikakati mizuri lkn limekuwa likikwama kidogo kupenya kwa WanaCCM kwa sababu ya Jimbo husika kuonekana lina UCCM mwingi....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali la mipasho hupata jibu la mipasho Mayala. Ukitaka Econometric Analysis lete maada ya Uchumi sio mipasho.
MG
Mayu karibu Simbalungwala leo - tunapanga Timu ya kumtafuta Mbunge atakayetufaa Iramba - shirikiana nasi ili tupate mtu mzuri ambaye utamkabidhi na wewe ujiandae kwa Urais 2025 - tunakuomba kwenye Timu yetu - wewe na Kitila mnatuchosha na mipasho yenu na hata Jiwe anawaangalia tu na mwishowe atawashangaza wote manake hapendi wateule wake kulumbana!
 
Hilo jimbo ni la Prof Kitila.......kwa namna ile ya Kigwangalla 2010!
Mwigulu aongeze tu mashamba ya alizeti labda Jiwe akatwe kugombea Jiwe for Kitila,Mwigulu for asilia.Hapo itategemea nguvu ya atakaekuwa mpitishaji Kama ni mwenyekiti au NEC
 
Labda kura ipigiwe jf na WhatsApp, Ila kwa Iramba, akipata hata nusu ya kura zangu nawambia Chama changu wamtangaze kuwa ndio mshindi. "NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Ukisha tubia uliyo watendea Watanzania ambayo hayampendezi Mungu labda ata pokea maombi yako. Ila kumbuka kuna saa mamba hutoka nchi kavu na mkia wake huisha nguvu. Sasa wewe ni mmba wa nchi kavu. Utauwawa na mtoto mdogo anae mcha Mungu..
Kwa taarifa yako jina lako halivuki mkoani acha kupigiwa kura na halmashauri kuu. Na huyo unae sema akipata nusu ya kura zako utasema apewe ubunge elewa sio mpinzani ni Ccm mwenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisha tubia uliyo watendea Watanzania ambayo hayampendezi Mungu labda ata pokea maombi yako. Ila kumbuka kuna saa mamba hutoka nchi kavu na mkia wake huisha nguvu. Sasa wewe ni mmba wa nchi kavu. Utauwawa na mtoto mdogo anae mcha Mungu..
Kwa taarifa yako jina lako halivuki mkoani acha kupigiwa kura na halmashauri kuu. Na huyo unae sema akipata nusu ya kura zako utasema apewe ubunge elewa sio mpinzani ni Ccm mwenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie!
 
Nafurahi kusikia watu wenye sifa kubwakubwa wakitajwa kutaka kugombea. Hii inaleta amani kwa sisi wengine tulio mbali kidogo na eneo la tukio. Awali, wengine walikuwa wakitushutumu kwa nini hatutangazi nia; nini faida sasa ya kutusomesha; tunainyima Iramba fursa ya kutoa viongozi wa kitaifa, n.k.
 
Nafurahi kusikia watu wenye sifa kubwakubwa wakitajwa kutaka kugombea. Hii inaleta amani kwa sisi wengine tulio mbali kidogo na eneo la tukio. Awali, wengine walikuwa wakitushutumu kwa nini hatutangazi nia; nini faida sasa ya kutusomesha; tunainyima Iramba fursa ya kutoa viongozi wa kitaifa, n.k.
Kama jina lipi Mkuu ulilovutiwa nalo?
 
Back
Top Bottom