Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,437
Reaction score
3,771
Mh. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakukaribisha Arusha.

Tunachokuomba saa ya kusikiliza kero za wananchi, watu wako ndio wapange utaratibu bila kuingiliwa na oote katika mkoa huu Ili haki itendeke uambiwe ukweli.

Mweshimiwa tunakusisitiza wasaidizi wako ndio wapange utaratibu na wahakikishe wananchi wanawasikilizwa wote na wale watakaoona wewe unatakiwa uwasikilize basi wapewe nafasi.

Mimi ni sauti ya wengi wale ambao hawana makoneksheni, hawajui vibosile wala wakubwa na hayo ni maombi yetu kwako mkuu.

NB: Kumbuka tunakutegemea, usituangushe mh. Waziri mkuu wetu.
Tusamehe sana mbunge wetu yupo nje kikazi huko pahii, frensi, kama angekuwepo hakika tungekuchomea nyama nyingi sana, tunaomba utuwie radhi.
Naomba ufikishe salamu zangu kwa mama mtumishi na umwambie aendelee kutuombea bila kuchoka .
Kwaresma Mubarak.

Karibu sana Arusha.
 
Mh. Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania nakukaribisha Arusha.

Tunachokuomba saa ya kusikiliza kero za wananchi, watu wako ndio wapange utaratibu bila kuingiliwa na oote katika mkoa huu Ili haki itendeke uambiwe ukweli.

Mweshimiwa tunakusisitiza wasaidizi wako ndio wapange utaratibu na wahakikishe wananchi wanawasikilizwa wote na wale watakaoona wewe unatakiwa uwasikilize basi wapewe nafasi.

Mimi ni sauti ya wengi wale ambao hawana makoneksheni, hawajui vibosile wala wakubwa na hayo ni maombi yetu kwako mkuu.

NB: Kumbuka tunakutegemea, usituangushe mh. Waziri mkuu wetu.
Tusamehe sana mbunge wetu yupo nje kikazi huko pahii, frensi, kama angekuwepo hakika tungekuchomea nyama nyingi sana, tunaomba utuwie radhi.
Naomba ufikishe salamu zangu kwa mama mtumishi na umwambie aendelee kutuombea bila kuchoka .
Kwaresma Mubarak.

Karibu sana Arusha.
ko humu ndo Arusha? Km la maza ako.
 
ko humu ndo Arusha? Km la maza ako.
Kwahiyo unataka tukamwambie Lupumba sio, yaan jamhuri ya muungano wa Tanzania ni bara na visiwani hivyoo...sa katiba ikifatwa sawasawa huyu ni pm wa Hadi zenji....
 
Kwahiyo unataka tukamwambie Lupumba sio, yaan jamhuri ya muungano wa Tanzania ni bara na visiwani hivyoo...sa katiba ikifatwa sawasawa huyu ni pm wa Hadi zenji....
we jamaa ni tenga, tena lenye matobo kama yote!! Jinga kubwa wewe!! Haujui hata kuandika!! K
 
Hilo uombalo halipo, sahau.

Hivi umefatilia ziara zake na ukaona maoni yanatolewa kwa uwazi ??
 
Back
Top Bottom