Mjinga unajijibu mwenyewe
DJ kuvaa miwani anaficha mini?
Leo umekunywa gongo na viroba kwa pamoja ee?
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,
Unaimani za kishirikina wewe.
Ukiona unapendwa sana kuliko watu wote ujue unayo matatizo makubwa kuliko watu wote. Hakuna ntu anayechukiwa kuliko watu wote ujue kwa sababu hata Hitla na ukatili wake wote kuna watu walimpenda ungedhani hawana akili na wapo hata leo duniani kote. Mwigulu ni mzuri sana kwa sababu hana store ya mambo aliyonayo moyoni, anafunguka mambo yote pasipo kubagua ya kijinga, ya kipumbavu au ya busara. Kwake yeye bungeni kwa kuwa kuna kinga ya waropokaji anapatumia kama fulsa ya kipekee vizuri sana. Kwa kufanya hivyo wapinzani wake wako salama zaidi maana anaropoka hata mikakati yake ya kuwamaliza na kuwafanya wajitayarishe mapema kwa mapambano dhidi yao. Kwa kuwa chama chake kimempa nafasi kubwa kama silaha bora ya kuwamaliza wapinzani, ccm nayo inayo kanzi kubwa kudhibiti maangamizi hata ndani ya chama chenyewe kwa kuwa majanga ya bwana huyu hayachagui ccm wala cdm bali inategemeana mizimu yake imeamkia kushoto au kulia. Nadhani anaaminiwa na mwenza wake tu kwa kuwa kuna viapo katika mema na mabaya, matamu na machungu. Ukitaka upandishe pressure wewe yachukulie maropoko ya Nchemba kwa uzito mkubwa.
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,
mi nayachukia sana magwanda ya chadema. yamekaa kivurugu vurugu tu, hivi watu wanayovaa haya magwanda wana akili timamu kweli?
wanaovaa haya magwanda ya chadema ni machizi na wavuta bange
Inabidi upate double doseHata iweje,huwezi fananisha bendera ya taifa letu na dekio,mwanaharamu wewe!
Kwanza niombe radhi watanzania wenzangu kwa kufananisha rangi za taifa letu na dekio, hii ni kwa sababu anayezivaa hana hadhi ya kuvaa bendera ya taifa. Hivi ukikutana watu wanne mmoja kavaa kijani, wa pili nyeusi, wa tatu njano na nne bluu wakiwa pamoja utasema nimekutana na watu wamevaa bendera ya taifa? Kwa matendo ya Mwigulu siyo wa kuvaa bendera ya taifa shingoni. Ukinzia Igunga, Arumeru, Ndago Singida na lile ambalo sitamsamehe la kufunga mbwa bendera ya Chadema. Hivi kweli mtu anayejua maana ya bendera anaweza kumfunga mbwa bendera ya taasisi hata kama huipendi kiasi gani? Katika kukamilisha roho yake mbaya alihojiwa na gazeti fulani akasema anamchukia shetani na Dr Slaa. Hivi binadamu anayejifanya mzalendo anaweza kumfananisha mtanzania mwenzake na shetani? Embu vua dekio hilo we si mfano wa kuigwa na watoto wetu! Mtu anayefunga bendera ya taifa lazima awe mfano wa kuigwa. Na nitapendekeza chama changu kikichukua nchi tubadilishe bendera liyonajisiwa na Mwigulu.
Kwanza niombe radhi watanzania wenzangu kwa kufananisha rangi za taifa letu na dekio, hii ni kwa sababu anayezivaa hana hadhi ya kuvaa bendera ya taifa. Hivi ukikutana watu wanne mmoja kavaa kijani, wa pili nyeusi, wa tatu njano na nne bluu wakiwa pamoja utasema nimekutana na watu wamevaa bendera ya taifa? Kwa matendo ya Mwigulu siyo wa kuvaa bendera ya taifa shingoni. Ukinzia Igunga, Arumeru, Ndago Singida na lile ambalo sitamsamehe la kufunga mbwa bendera ya Chadema. Hivi kweli mtu anayejua maana ya bendera anaweza kumfunga mbwa bendera ya taasisi hata kama huipendi kiasi gani? Katika kukamilisha roho yake mbaya alihojiwa na gazeti fulani akasema anamchukia shetani na Dr Slaa. Hivi binadamu anayejifanya mzalendo anaweza kumfananisha mtanzania mwenzake na shetani? Embu vua dekio hilo we si mfano wa kuigwa na watoto wetu! Mtu anayefunga bendera ya taifa lazima awe mfano wa kuigwa. Na nitapendekeza chama changu kikichukua nchi tubadilishe bendera liyonajisiwa na Mwigulu.