ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
uzalendo ni matendo na wala si madekio au kupitia jkt.
Inabidi upate double dose
kamuulize mwenzio skafu mpaka chooni,kama sio mambo flan ya kiganga ganga ni nini manake,sasahv pia anavaa kofia yenye nyota nyekundu.yenye maana ya kishetani.ila udhalimu una mwisho na mwisho wake mbaya sana,
Mhe. Mwigulu Nchemba kwa mtazamo wangu anatatizwa na kitu kimoja. Anakosa internal powers walizonazo watu wenye vipaji vya uongozi. Kuna msemo mmoja unasema hivi, power ya mtu hailetwi na cheo, madaraka au pesa alizonazo bali hutoka ndani yake. Kuna watu kwenye jamii zetu sio viongozi kama Mhe. Nchemba lkn wanaheshimika na kukubalika mno miongoni mwa jamii zinazowazunguka. Mhe. Nchemba anajaribu kufanya vitu kama kuvaa snafu na kapelo za kichina ili kujipa identity lkn kwa bahati mbaya haya yote anayo jaribu kufanya sioni kwa mtazamo wangu na jinsi mtaani watu wanavyo mzungumzia inakuwa tofauti. Hata hivyo yeye bado ni kijana, anatakiwa kubadilisha style ya siasa zake na kuwa za kiungwana zaidi kuliko ilivyo sasa. Kwani haonekani kama ni kiongozi mpenda demokrasia ya kweli na mtu anayeweza kuunganisha makundi yanayotofautiana kimawazo.
mi nayachukia sana magwanda ya chadema. yamekaa kivurugu vurugu tu, hivi watu wanayovaa haya magwanda wana akili timamu kweli?
wanaovaa haya magwanda ya chadema ni machizi na wavuta bange
DJ kuvaa miwani anaficha mini?