nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Teh teh,mlipuaji bhana! Amempiga dongo mbowe kuhusiana na mgogoro wake na mwigamba!
Ili apate pa kunyofolea pesa za serikali au? kama bodi haina pesa za kutosha kuwapa mikopo na hizo pesa zinatoka serikalini huo mfuko utatoa wapi hizo fedha?? kukiwa na mfuko huo na bodi kazi yake itakuwa nini?? ......Za kuambiwa...changanya na za mbayuwayu. I stand to be corrected but I think his Idea does not work to solve problems at all.
Mwambie 2015 siyo mbali msukuma mnyiramba huyo atavuna alichopanda...Mfuko wa Fedha kwaajili ya Elimu ya juu ni jambo la msingi kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora bila usumbufu.
Wanafunzi wanakosa mikopo kwasababu ya ukosefu wa fedha,Mfuko huu utasaidia sana.
Ikumbukwe Mbunge huyu mwaka jana alitoa hoja binafsi ya kuanzishwa mfuko kwaajili ya elimu ya juu.
KUHUSU MAGAZETI.
Habari nzuri si habari,ila habari mbaya ndio biashara.Ni lazima tuweke sheria itakayobana hii tabia ya watu kuuza sana taarifa mbaya wakati kunataarifa nzuri nyingi za taifa lake hawazungumziii;
Lazima tukubari kuwa taarifa mbaya ni hatari kwa taifa n.k Sioni shida kwa upinzani kuona taarifa mbaya ni mtaji kwao kwasababu hawana dhamana na hawana uzalendo na taifa hili."adui yetu mkubwa ni yule aliyeadui wa Taifa letu.
Kuna wabunge hapa wanavyombo vya habari magazeti n.k,Kuuza taarifa.Kuna watu wanapaspoti mbilimbili ndani ya vyama vyao hapa wanamajumba nje ya nchi.Wapo tayari kuvuruga amani ya nchi na kukimbilia DUbai kwenye majumba yao..
Wanamiliki vyombo vya habari kwaajili ya kuchafua utulivu wa nchi,Niwachcochezi sana na wanatekeleza asima yao kuwa nchi hii haitatawalika.
Kikisha nuka hapa wao wanajua wanamiliki nyumba nyingi nje ya nchi watakimbilia huko.
Misri na nchi nyingine zimepoteza amani kwasababu ya vyombo vya habari ambayo vilikuwa vinachochea mambo ya uongo ndani ya nchi yao.Leo hii wapo wapi?
Lazima sheria ziwe kali sana .kuna Viongozi wa vyama hapa wamezoea kuongoza kwa mabavu sana,Wanaruka vichwa na kuchapa viongozi wao wa ndani ya chama,Yaani kikwete aruke kichwa kumpiga mwenyekiti wa MKOA WA DSM wa chama cha mapinduzi?Kweli huu ndio uongozi?
Yaani sheria lazima ziwe kali sana,Watu wanapenda kulaumu kuwa mambo yapo ovyo wakati hawataki sheria ziwe kali juu yao na juu ya Utaifa wetu.
naomba sheri ya Magazeti iendee juu zaidi iwe kali zaidi.Kwani watu wananufaika na sheria hii kuwa butu
Umesema kweli tupu,miongoni mwa vyombo vya habari vinavyoandika uchochezi wa hatari,ni hivyo vyombo vya habari vya habari vya chama tawala,lakini waziri wa habari badala ya kuvifungia vyombo hivyo,yeye anafungia magazeti yanayosema kweli bila woga kana vile magazeti ya mwanahalisi na mwananchi.Hana jipya huyo savimbi anaweweseka tu!! Na hao walioficha pesa uswisi? Kama kuna gazeti chochezi basi ni Uhuru,Mzalendo et al! Kuhusu mambo ya ndani ya CDM hayamhusu kabisa na wasaliti wote lazima waondolewe ndani ya chama warudi magambani
vita tena?...Kama kuna watu watasababisha vita Mwigulu yumo. Hivi inawezekaje kusema hayo bungeni.
Mwigulu ni mtu hatari sana hata Mungu anamwogopa.
Mfuko wa Fedha kwaajili ya Elimu ya juu ni jambo la msingi kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora bila usumbufu.
Wanafunzi wanakosa mikopo kwasababu ya ukosefu wa fedha,Mfuko huu utasaidia sana.
Ikumbukwe Mbunge huyu mwaka jana alitoa hoja binafsi ya kuanzishwa mfuko kwaajili ya elimu ya juu.
KUHUSU MAGAZETI.
Habari nzuri si habari,ila habari mbaya ndio biashara.Ni lazima tuweke sheria itakayobana hii tabia ya watu kuuza sana taarifa mbaya wakati kunataarifa nzuri nyingi za taifa lake hawazungumziii;
Lazima tukubari kuwa taarifa mbaya ni hatari kwa taifa n.k Sioni shida kwa upinzani kuona taarifa mbaya ni mtaji kwao kwasababu hawana dhamana na hawana uzalendo na taifa hili."adui yetu mkubwa ni yule aliyeadui wa Taifa letu.
Kuna wabunge hapa wanavyombo vya habari magazeti n.k,Kuuza taarifa.Kuna watu wanapaspoti mbilimbili ndani ya vyama vyao hapa wanamajumba nje ya nchi.Wapo tayari kuvuruga amani ya nchi na kukimbilia DUbai kwenye majumba yao..
Wanamiliki vyombo vya habari kwaajili ya kuchafua utulivu wa nchi,Niwachcochezi sana na wanatekeleza asima yao kuwa nchi hii haitatawalika.
Kikisha nuka hapa wao wanajua wanamiliki nyumba nyingi nje ya nchi watakimbilia huko.
Misri na nchi nyingine zimepoteza amani kwasababu ya vyombo vya habari ambayo vilikuwa vinachochea mambo ya uongo ndani ya nchi yao.Leo hii wapo wapi?
Lazima sheria ziwe kali sana .kuna Viongozi wa vyama hapa wamezoea kuongoza kwa mabavu sana,Wanaruka vichwa na kuchapa viongozi wao wa ndani ya chama,Yaani kikwete aruke kichwa kumpiga mwenyekiti wa MKOA WA DSM wa chama cha mapinduzi?Kweli huu ndio uongozi?
Yaani sheria lazima ziwe kali sana,Watu wanapenda kulaumu kuwa mambo yapo ovyo wakati hawataki sheria ziwe kali juu yao na juu ya Utaifa wetu.
naomba sheri ya Magazeti iendee juu zaidi iwe kali zaidi.Kwani watu wananufaika na sheria hii kuwa butu