Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 452
Mfuko wa Fedha kwaajili ya Elimu ya juu ni jambo la msingi kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora bila usumbufu.
Wanafunzi wanakosa mikopo kwasababu ya ukosefu wa fedha,Mfuko huu utasaidia sana.
Ikumbukwe Mbunge huyu mwaka jana alitoa hoja binafsi ya kuanzishwa mfuko kwaajili ya elimu ya juu.
KUHUSU MAGAZETI.
Habari nzuri si habari,ila habari mbaya ndio biashara.Ni lazima tuweke sheria itakayobana hii tabia ya watu kuuza sana taarifa mbaya wakati kunataarifa nzuri nyingi za taifa lake hawazungumziii;
Lazima tukubari kuwa taarifa mbaya ni hatari kwa taifa n.k Sioni shida kwa upinzani kuona taarifa mbaya ni mtaji kwao kwasababu hawana dhamana na hawana uzalendo na taifa hili."adui yetu mkubwa ni yule aliyeadui wa Taifa letu.
Kuna wabunge hapa wanavyombo vya habari magazeti n.k,Kuuza taarifa.Kuna watu wanapaspoti mbilimbili ndani ya vyama vyao hapa wanamajumba nje ya nchi.Wapo tayari kuvuruga amani ya nchi na kukimbilia DUbai kwenye majumba yao..
Wanamiliki vyombo vya habari kwaajili ya kuchafua utulivu wa nchi,Niwachcochezi sana na wanatekeleza asima yao kuwa nchi hii haitatawalika.
Kikisha nuka hapa wao wanajua wanamiliki nyumba nyingi nje ya nchi watakimbilia huko.
Misri na nchi nyingine zimepoteza amani kwasababu ya vyombo vya habari ambayo vilikuwa vinachochea mambo ya uongo ndani ya nchi yao.Leo hii wapo wapi?
Lazima sheria ziwe kali sana .kuna Viongozi wa vyama hapa wamezoea kuongoza kwa mabavu sana,Wanaruka vichwa na kuchapa viongozi wao wa ndani ya chama,Yaani kikwete aruke kichwa kumpiga mwenyekiti wa MKOA WA DSM wa chama cha mapinduzi?Kweli huu ndio uongozi?
Yaani sheria lazima ziwe kali sana,Watu wanapenda kulaumu kuwa mambo yapo ovyo wakati hawataki sheria ziwe kali juu yao na juu ya Utaifa wetu.
naomba sheri ya Magazeti iendee juu zaidi iwe kali zaidi.Kwani watu wananufaika na sheria hii kuwa butu
Wanafunzi wanakosa mikopo kwasababu ya ukosefu wa fedha,Mfuko huu utasaidia sana.
Ikumbukwe Mbunge huyu mwaka jana alitoa hoja binafsi ya kuanzishwa mfuko kwaajili ya elimu ya juu.
KUHUSU MAGAZETI.
Habari nzuri si habari,ila habari mbaya ndio biashara.Ni lazima tuweke sheria itakayobana hii tabia ya watu kuuza sana taarifa mbaya wakati kunataarifa nzuri nyingi za taifa lake hawazungumziii;
Lazima tukubari kuwa taarifa mbaya ni hatari kwa taifa n.k Sioni shida kwa upinzani kuona taarifa mbaya ni mtaji kwao kwasababu hawana dhamana na hawana uzalendo na taifa hili."adui yetu mkubwa ni yule aliyeadui wa Taifa letu.
Kuna wabunge hapa wanavyombo vya habari magazeti n.k,Kuuza taarifa.Kuna watu wanapaspoti mbilimbili ndani ya vyama vyao hapa wanamajumba nje ya nchi.Wapo tayari kuvuruga amani ya nchi na kukimbilia DUbai kwenye majumba yao..
Wanamiliki vyombo vya habari kwaajili ya kuchafua utulivu wa nchi,Niwachcochezi sana na wanatekeleza asima yao kuwa nchi hii haitatawalika.
Kikisha nuka hapa wao wanajua wanamiliki nyumba nyingi nje ya nchi watakimbilia huko.
Misri na nchi nyingine zimepoteza amani kwasababu ya vyombo vya habari ambayo vilikuwa vinachochea mambo ya uongo ndani ya nchi yao.Leo hii wapo wapi?
Lazima sheria ziwe kali sana .kuna Viongozi wa vyama hapa wamezoea kuongoza kwa mabavu sana,Wanaruka vichwa na kuchapa viongozi wao wa ndani ya chama,Yaani kikwete aruke kichwa kumpiga mwenyekiti wa MKOA WA DSM wa chama cha mapinduzi?Kweli huu ndio uongozi?
Yaani sheria lazima ziwe kali sana,Watu wanapenda kulaumu kuwa mambo yapo ovyo wakati hawataki sheria ziwe kali juu yao na juu ya Utaifa wetu.
naomba sheri ya Magazeti iendee juu zaidi iwe kali zaidi.Kwani watu wananufaika na sheria hii kuwa butu