kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,885
Jamaa sio mzima. Nadhan pia ni aina flan ya laana.
huyo jamaa na le mutuz sio wazima kichwani ata kidogo,natoa wito kwa serikali hawa wadau wakapimwe ili kuthibitisha haya niliyoyasema,wao muda wote wanahisi niwa propaganda mfu,intentionally they tend to distort facts,very sorry for them.