Mwigulu Nchemba: Hakuna tofauti ya hesabu kati ya mamlaka mbili (TRA na EWURA)

"Hakuna tofauti,,hata hivyo tofauti ni ndogo sana!.Hizi ni kauli mbili tofauti!Siku zote ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti,mtasema sana kuwa hakuna tofauti,lakini ukweli utabaki palepale,maiti si hawezi kujitetea?R.I.P #Gashaza !

Kwani huu utaratibu wa kupiga mahesabu ni mpya?EWURA na TRA si wapo miaka nenda rudi?Tuseme hawajui kupiga mahesabu yao?Je #Chenge kwenye kamati ni mgeni kiasi cha kutojua maana ya tofauti hizo?Na kwa nini serikali walikuwa wanang'ang'ania kuwa hesabu za TRA ambazo ni ndogo ndio sahihi?Hata kipofu anajua kuwa mwakani kuna nini,na kwa nini Mwigulu ukabidhiwe taasisi nyeti ya fedha kipindi hiki!

kwa mujibu wa gazeti la mwanchi leo tarehe 20 may, TRA ndio wanaonekana wamer-report figure kubwa zaidi ya Ewura.

Kama ni kweli hii ina maana kuwa kuna mkanganyiko kati ya tasrifa za jana ambazo zilisema Ewura wame- report figure za juu zaidi ya TRA ikiwa na maana kuwa kama pesa zimetafunwa TRA.
 
Katika maandishi haya hapa chini ninakihusisha hiki kifo na wizi wa fedha unaofanywa na CCM ili kujiandaa na uchaguzi wa 2015 kwani tumeshuhudia upotevu wa Billion 200 za TANNESCO na hii tena ya upotevu wa hizi zaidi ya billion 80 za REA ni mwendelezo wa hujuma hizi za CCM

Mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo alisema marehemu hakuhojiwa labda kilichomfanya ajiue ni hofu iliyotokana na mahojiano baina ya kamati hiyo na watendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rea).


Alisema kamati hiyo iliwaita viongozi wa Wizara ya Fedha na Wizara ya Nishati na Madini ili kuwahoji kwa nini Sh50 zilizoongezwa katika mafuta ya petroli na dizeli hazikwenda Rea?

Mjumbe huyo alisema kati ya zaidi ya Sh100 bilioni zilizotakiwa kwenda Rea ni Sh17 bilioni tu zilizopelekwa na fedha nyingine zilielekezwa kwenye matumizi mengine ambayo hayakuidhinishwa na Bunge.
 
Nyie mnaobishana na hiki alichokisema Mh.Mwigulu tuambieni mahesabu yenu ya ukweli. Sio mnakaa kupinga kila kitu kinachohusu serikali.

Zaidi ya Billion 100 zilizotakiwa kupelekwa REA zimepelekwa Billion 17 tu ebu tuambie hizo zaidi ya Billion 80 zimekwenda wapi? hayo matumizi mengine yaliyotajwa ni yapi? na je Huyo afisa wa EWURA ajauawa na hao waliohamisha hizo fedha kuzipeleka katika hayo matumizi mengine ili kuficha hiyo SIRI?
 
"Hakuna tofauti,,hata hivyo tofauti ni ndogo sana!.Hizi ni kauli mbili tofauti!Siku zote ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti,mtasema sana kuwa hakuna tofauti,lakini ukweli utabaki palepale,maiti si hawezi kujitetea?R.I.P #Gashaza !

Kwani huu utaratibu wa kupiga mahesabu ni mpya?EWURA na TRA si wapo miaka nenda rudi?Tuseme hawajui kupiga mahesabu yao?Je #Chenge kwenye kamati ni mgeni kiasi cha kutojua maana ya tofauti hizo?Na kwa nini serikali walikuwa wanang'ang'ania kuwa hesabu za TRA ambazo ni ndogo ndio sahihi?Hata kipofu anajua kuwa mwakani kuna nini,na kwa nini Mwigulu ukabidhiwe taasisi nyeti ya fedha kipindi hiki!

Shikamoo Sungura 1980
 
Last edited by a moderator:
Sina Imani na Mwigulu, yaani ameingia tu mikashifa kibao mtaiona tu, macc yanatafuta fedha rahisi za kupiga, sasa wakaona wapige EWURA kumbe majizi haya hayakupeana taarifa. Sasa mambo hazalani
 
Idadi ya watu ambao Mwigulu Nchemba ameamuru wauawe sasa inatisha. Hii idara ya Usalama WA Taifa umefika wakati sasa waanze kuchanganya za kuambiwa na za kwao. Mwanzo alikuwa anaua wanasiasa Tu, RIP Ally Zona, na kumwaga tindikali. Akaingia kwa wanataalum, pole Sana Dr Ulimboka, RIP Mwangosi, RIP Dr Mvungi na sasa amehamia kuua watendaji wa Taasisi nyeti za Serikali RIP Gashaza.

Siku huyu jamaa akiingia Ikulu ataua kuliko alivyoua Idd Amini au Konyi kule Uganda. Jamani TISS huyu Mwigulu Nchemba Savimbi atatumaliza. Ameishaonja damu ya mtu, kamwe hawezi kuacha.
 
Baada ya jamaa kutangulia sasa kibao kinageuka, ooh hakuna tofauti mara hakuna aliemhoji mara hakuitwa kwenye kikao ila alihudhuria tu mwenyewe.. jaman hii Nchi hapana aisee
 
Mbona mandondocha nyie, au mnafanya makusidi?
Picha lishageuzwa hapo baada ya jamaa kuuliwa.

Kibanga,

Hakuna undondocha hapa na nimeandika wazi kuwa tofauti huwa zinakuwepo kati ya kiasi kilichoandikwa kwenye meli na kile kilichofika kwa wateja, na mara zote TRA huchukua figure itakayokuwa juu. Hivyo basi kama kumbukumbu za TRA zinaonyesha kiasi kidogo, kuna wizi hapo! Kwa vyovyote vile kiasi kilicho kwenye kumbukumbu za TRA ni lazima ziwe sawa au juu ya zile za EWURA au chombo kingine kinachoweza kuhusika.
 
Zaidi ya Billion 100 zilizotakiwa kupelekwa REA zimepelekwa Billion 17 tu ebu tuambie hizo zaidi ya Billion 80 zimekwenda wapi? hayo matumizi mengine yaliyotajwa ni yapi? na je Huyo afisa wa EWURA ajauawa na hao waliohamisha hizo fedha kuzipeleka katika hayo matumizi mengine ili kuficha hiyo SIRI?
Kila tukiamka serekari inawaibia wana inji wake halfu kuna mijitu inatuambia ipende inji yako kuwa mzalendo
 
"Hakuna tofauti,,hata hivyo tofauti ni ndogo sana!.Hizi ni kauli mbili tofauti!Siku zote ninaamini kuwa kila nafsi itaonja mauti,mtasema sana kuwa hakuna tofauti,lakini ukweli utabaki palepale,maiti si hawezi kujitetea?R.I.P #Gashaza !

Kwani huu utaratibu wa kupiga mahesabu ni mpya?EWURA na TRA si wapo miaka nenda rudi?Tuseme hawajui kupiga mahesabu yao?Je #Chenge kwenye kamati ni mgeni kiasi cha kutojua maana ya tofauti hizo?Na kwa nini serikali walikuwa wanang'ang'ania kuwa hesabu za TRA ambazo ni ndogo ndio sahihi?Hata kipofu anajua kuwa mwakani kuna nini,na kwa nini Mwigulu ukabidhiwe taasisi nyeti ya fedha kipindi hiki!

Umelenga Mkuu! Muuaji wa ndugu yetu huyu aulizwe Muuaji Migulu Chemba
 
Back
Top Bottom