mandawa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 732
- 1,062
Kaka mwigulu kumbuka tuliwahi kuwa na wazari kabla yako..tena mwenye njozi za kufanana nawe kuja kuongoza mama Tz.. Ulipofika uchaguzi wale wale anaoshinda nao walimuangusha...wala hawakujali ubest wake na mkulu!! Angalizo tu unapocheza ngoma, cheza kwa step!!