Mwigulu Nchemba ahitimu masomo yake ya PhD

Mwigulu Nchemba ahitimu masomo yake ya PhD

Nimedokeza mara nyingi huyu alikowekwa siyo anafaa wizara ya fedha
Eti alikua anajigamba kuleta kodi ya data sasa unapata vipi data bila kununua vocha? Wachumi wetu wanafuraisha sana ubinifu wao unawalakini mi sijui mambo ya uchumi hila kuna siku nilikua namsikia makamu rais wa Ghana alikua Mauritius kwenye mkutano akawa anaelezea sera yao ya one district, one factory nilielewa kirahisi sana hivi ndio vitu vya kukuza uchumi sio mzigo ulipiwe kodi bandarini, unalipiwa kodi na muuzaji wa jumla halafu ulipiwe kodi na muuzaji wa rejareja .
Hii ndio inasababisha ukwepaji kodi pamoja na mfumuko wa kodi
 
PhD za wanasiasa siku zote huwa hazina impact kwa jamii inayowazunguka.....hongera kwake.
 
PHD za viongozi wa juuu wawapo madarakani zinanitatiza sana. Sijasema km wananunua ankuu ila sijui zinanikwama kwama kuikubali.
 
Hivi hiyo PHD inajenga kiwanda/viwanda vya ndani?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).

Ngoja tuingie msituni tuichunguze. Isije ikawa kama ya bwana yule wa chemistry maana udsm kwa sasa ni sawa na chuo cha kivukoni! Promo kwa chama kwenda mbele!
 
Je Thesis yake ameiwakilisha? (disseminate)
Je Teyari ameitetea? (defend)
je utafiti wake umekubaliwa(Approved by supervisors)

Ph.D nyingi za Tanzania hazipitii hatua hizo na mtu tu kufanya huo utafiti wake mwisho wa siku utasikia ana Ph.D mfano akina Nchimbi,Mery Nagu, na yule na wengineo wengi tu
Ph.D study bila kuimaliza kwa kufikia hatua hiyo ni sawa na kuandika report halafu unaifungia kabatini bila kuwapa watu waisome.
Kama Mwigulu amepursue andiko la Ph.D na ati amefuzu basi Ph.D yake ni fake.
Ndugu usichanganye madesa. Thesis ni for master degree na dissertation kwa Philosophical doctrine. Nyongeza juu ya huu utofauti ni kwamba,in thesis you present what you investigated that has investigated by other scholars but in dissertation you present new thing you discovered through your investigation. Watu wenye Phd wanastahili pongezi kabisa
 
Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
saa ngapi alikuwa anakwenda huko, gawa PhD gawa tu!.................. It is paying ...se Buchweishaija, he is ascending up the ladder!
 
Ameandika kuhusu nini hongera zake phd sio mchezo
 
Hizi pi hechi dii sisi hatuna interest nazo, kama waziri mwenye dhamana atupe majibu kina nani walimshambulia Lissu??
 
Back
Top Bottom