Msitoane macho bure kila chuo kina matumizi yao, kwa mfano sua phd wanaita thesis na masters wanaita dissertation. Kuna vyuo USA ni kinyume chake. .......mkuu angalia usibishe usichojua![]()
Ph.D mfano akina Nchimbi,Mery Nagu, na yule na wengineo wengi tu
Zamani vyuo vyote nchini vilitumia monograph kupublish ni juu ya wahusika, sasa hivi kama sua wana option kwa mphil na phd ya either monograph au by publications. Kuna time na financial implication hii ya by publications inahitaji more funding na time other things being equal. Nelson Mandela ni wapya hivyo ni rahisi kwao kutumia mfumo wa publications mara moja.Nadhani kwa post graduate studies (Masters;PhD &post Doctorial) kwa vyuo vyote waweke tu sheria kua mtu kugraduate lazima awe ame"publish at least two papers ktk reputable international journals na sio hizi journals zao za kisela kisela
At least Nelson Mandela wanajitahidi sana ktk hili lakini vyuo vingine naona wanadefend tu dissertations zao ku"publish ni optional
Kama kazi yako haitambuliki kimataifa tutajuaje km ina impact kwa jamii na inawezekana umerudia walivyofanya wenzio kwa kujua au kutokujua ndo maana hu"publish
Acha siasa ww kama alikuwa haingii class ok fine alifanyaje research wakati alikuwa kwenye media kila cku akiuza suraPhD hawakusanywagwi Nkurumah hall kwa ajili ya lecture!
Mkuu una hakika na unachosema? Hii itakuwa mpya mtu kupata phd tanzania bila kufanya defence. Kunaweza kuwa na matatizo kwenye process lakini all in all vyuo viko makini. External na internal examiners wanapitia kila thesis au dissertation kabla ya defence.Je Thesis yake ameiwakilisha? (disseminate)
Je Teyari ameitetea? (defend)
je utafiti wake umekubaliwa(Approved by supervisors)
Ph.D nyingi za Tanzania hazipitii hatua hizo na mtu tu kufanya huo utafiti wake mwisho wa siku utasikia ana Ph.D mfano akina Nchimbi,Mery Nagu, na yule na wengineo wengi tu
Ph.D study bila kuimaliza kwa kufikia hatua hiyo ni sawa na kuandika report halafu unaifungia kabatini bila kuwapa watu waisome.
Kama Mwigulu amepursue andiko la Ph.D na ati amefuzu basi Ph.D yake ni fake.
puppet wa nani sasa, au ulitaka awatumikie nhumbu? huyo ni mwana ccm na anatekeleza ilani ya CCM na sio matakwa ya kaskazini.Haha hahahaha alikuwa anasoma lini wakati kila siku alikuwa kwenye media akipiga siasa au wamempa tu phd kimagumashi hana lolote papeti
We bwege mtozeni kweli....!!Akianzia na yeye mwenyewe, PhD yake inaisaidia vipi hii nchi, mbwembwe tu.
pia atuwekee research objectives na relevanceKwanza hebu aweke hapa Research question yake tuone
Hongera zake kwa jina lile lile ama?Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).