FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,516
- 46,603
Kama ni hivyo, kwanini sasa mmeuza bandari?
Haha hawataki kuisikia hayaKwa elimu na uwezo mwigulu Yuko vyema
Karudieni maandishi yenu Yale mliyoandika kwenye madaraja, makaravati, miamba kando ya Barabara mwaka 2005. Maana naona kampeni za 2025 zimeanza mapema.Mwigulu ni kichwa. Uzoefu kwenye sekta ya Uchumi unambeba.
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli kabisa atakauwa rais wako, sio rais wa Tanzania2030 mwigulu my president!!
2030 mwigulu my ppresi
Unaijua tofauti ya Kodi na tozo. Huwezi kutoza tozo kwenye kitu kilichotozwa Kodi Mara ya piliHakuna nchi wasiolipa Kodi, Kodi na tozo ni vichocheo vya maendeleo
Wewe una stress sio bure. Umetukana kila mtu Sasa umehamia kwa mke wa mbowe.Haya mke wa mbowe weka yako basi
Aiseeh! Umeona ujifiche kwa Mbowe baada ya kukosa hoja.Mnakamua wananchi maskini michango kukodi helicopter kweli kengengeza huna akili
Ulikuwa mwanzo mzuri wa kujitangaza so 2030 nabeba ndio kabisa.Sawa Mwigulu. Pamoja na kuchora machata nchi nzima uliishia wapi?
😁😁 likiuzwa raia s tunapata mgao wetuLikiuzwa mnaanza kelele🙂