King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,861
- 2,612
Rais wa Tanzania ni wangu na wako pia au wewe ni murundi nini?Umeongea ukweli kabisa atakauwa rais wako, sio rais wa Tanzania
Rais wa Tanzania ni wangu na wako pia au wewe ni murundi nini?Umeongea ukweli kabisa atakauwa rais wako, sio rais wa Tanzania
Ni uzalendo kulipa tozo so sioni ubaya coz tozo zinaenda kujenga miradi ya nchi.Unaijua tofauti ya Kodi na tozo. Huwezi kutoza tozo kwenye kitu kilichotozwa Kodi Mara ya pili
Mnamtikisa Msoga.
🤣🤲Kama aliweza kuchapisha mawe yote pembezoni mwa barabara kuu kuanzia Msamvu mpaka nzega atashindwa vipi kuja na multiple IDs?
Na chapisho la aina yake..Mwigulu Lameck Nchemba
WAziri mkuu wa TozoKama Taifa na hasa kwa vijana wasomi utaungana nami katika hili naloenda kuzungumzia Leo ! Very short Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine aisee...
AmewatumaJamani mbona muda wa kampeni bado chawa mmeshaanza fujo
Mkuu kuna jamaa wapo very aggressive kupush agenda za kusifia so wanaomba connection kuhusu hili ili nao waingizwe kweny payroll!! Majibu tafadhali....Kama Taifa na hasa kwa vijana wasomi utaungana nami katika hili naloenda kuzungumzia Leo ! Very short Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine aisee...
Watu hawana aibu kabisaJamaa hata kama Kuna posho baada ya kutumwa ila dah, mambo mengine yanataka kujitoa ufahamu haswa ili usifie