Wanajf nipo nasoma hapa nasoma gazeti la LE OBRESS linalochapisha mjini Paris Ufaransa limemtaja katibu wa fedha na uchumi wa CCM ndugu Mwigulu Mchemba kuwa wakati anafanya kazi benki kuu ya Tanzania(BOT) alishiriki kwenye wizi wa EPA 2005 ambapo alikisaidia chama chake cha CCM kukwapua mabilioni ya shilingi ambazo walizitumia kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.Chama cha mapinduzi kilimuahidi kumpa ubunge pia cheo ndani ya CCM..Pia gazeti hjli limesema kuwa wale watuhumiwa wa EPA waliohukumiwa vifungo Farijala Hussein na ndugu yake walimtaja Mwigulu kama mtu mmoja wapo aliyewasaidia kukwapua fedha kutoka benki kuu lakini walipomtaja tu ikulu iliingilia kumkingia kifua kwa kuwa angewaumbua wakubwa wengi.
Uzushi mtupu,Mwigulu mwaka 2005 ndio mwaka alopata ajira Bot kwani alimaliza chuo mwaka 2004 degree ya kwanza ya uchumi.Kwa kuwa mgeni vile kazini asingeweza kusaidia chochote kwenye issue kubwa kama za EPA
Lazima uweke ushahidi wa hilo gazeti au uscan au tupe links vinginevyo tutakuita mchinvi
Uzushi mtupu,Mwigulu mwaka 2005 ndio mwaka alopata ajira Bot kwani alimaliza chuo mwaka 2004 degree ya kwanza ya uchumi.Kwa kuwa mgeni vile kazini asingeweza kusaidia chochote kwenye issue kubwa kama za EPA
sheria za huku France haziruhusu kucopy na kupaste pia hili ni gazeti la mji wa Versaille hivyo halina website.
Wanajf nipo nasoma hapa nasoma gazeti la LE OBRESS linalochapisha mjini Paris Ufaransa limemtaja katibu wa fedha na uchumi wa CCM ndugu Mwigulu Mchemba kuwa wakati anafanya kazi benki kuu ya Tanzania(BOT) alishiriki kwenye wizi wa EPA 2005 ambapo alikisaidia chama chake cha CCM kukwapua mabilioni ya shilingi ambazo walizitumia kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.Chama cha mapinduzi kilimuahidi kumpa ubunge pia cheo ndani ya CCM..Pia gazeti hjli limesema kuwa wale watuhumiwa wa EPA waliohukumiwa vifungo Farijala Hussein na ndugu yake walimtaja Mwigulu kama mtu mmoja wapo aliyewasaidia kukwapua fedha kutoka benki kuu lakini walipomtaja tu ikulu iliingilia kumkingia kifua kwa kuwa angewaumbua wakubwa wengi.
Na ndiyo maana alizawadiwa uweka hazina wa JF? Ama kweli CCM inavyowanyonga Watz -- kama inavyoonyesha kwenye signature yangu hapa chini.
Mzee pamoja na ukweli huo wa Mwigulu kumaliza shule(Bachelor) 2004, je unamfahamu Mwigulu vizuri?FYI:'Yupo kazini' years before that.
Ukiona mtu anakubalika na Kikwete ujue kuna jambo.Mwigulu kupewa hazina nilihisi kuna jambo.Hii ni strategy ya 2015.
Na hela za BOT ziliibiwa 2005.Uzushi mtupu,Mwigulu mwaka 2005 ndio mwaka alopata ajira Bot kwani alimaliza chuo mwaka 2004 degree ya kwanza ya uchumi.Kwa kuwa mgeni vile kazini asingeweza kusaidia chochote kwenye issue kubwa kama za EPA