PostGE2025 Mwigulu atoa idadi ya Vitu na miundombinu iliyoharibiwa katika vurugu za Oktoba 29

PostGE2025 Mwigulu atoa idadi ya Vitu na miundombinu iliyoharibiwa katika vurugu za Oktoba 29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari leo Novemba 25, 2025 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja tathmini ya awali ya miundombinu ya serikali na vitu vya wananchi binafsi vilivyoharibiwa wakati wa vurugu za Oktoba 29, Ameonyesha kusikitishwa na uharibifu huo wa mali za wananchi

Vituo vya Polisi- 159
Ofisi za serikali-756
Vituo vya Mwendokasi-27
Vituo vya DAWASCO
Mabasi-6
Nyumba binafsi -273
Vituo vya Mafuta-672
Magari ya watu binafsi- 1642
Pikipiki binafsi- 2,268
Magari ya seriakli-979

1764136093229.jpeg
 
Idadi ya waliouwawa kwa kupigwa risasi mbona hasemi?

Halafu taarifa hii ya serikali ambao wao wenyewe ni watuhumiwa, tutaiamini vipi?

Na kama waliouwawa ni wahalifu, kilichowafanya msimame Bungeni kwa dakika moja kuwakumbuka marehemu ni nini?

Mlisimama Bungeni kukumbuka/kuombea wahalifu?
 
Back
Top Bottom