UTANIPENDA
Member
- Feb 25, 2012
- 31
- 12
Kumezuka mgogoro ndani ya UVCCM arusha kuwa mhe mwigulu nchemba amekuwa akifanya ziara arumeru mashariki ambayo haikuwa na baraka za chama. Mmoja ya vigogo wa UVCCM mkoa wa arusha amesema huyu mbunge anataka kulazimishia apewe umeneja wa kampeni kitu ambacho UVCCM arusha wamesema wao wamejiandaa na wameandaa pendekezo la jina la meneja wa kampeni za arumeru ambaye atatoka arusha.
UVCCM kupitia mwenyekiti wake James Ole Millya wameendelea kushikilia msimamo wao kuwa mgombea aliyepitishwa jina lake lisikatwe na kuwa wao wako tayari kufanya kampeni za ushindi.
Source: Arusha
UVCCM kupitia mwenyekiti wake James Ole Millya wameendelea kushikilia msimamo wao kuwa mgombea aliyepitishwa jina lake lisikatwe na kuwa wao wako tayari kufanya kampeni za ushindi.
Source: Arusha