Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,084
Ndg wana JF. Kwanza naomba niweke wazi kuwa mtu kuongoza kampen anateuliwa na cc na kupitishwa na nec. Hilo lilifanyika na kwa taarifa tu kuongozakampeni sio starehe na sio jambo la kuombea. Hivyo mimi ningetamani kikombe hicho kipitie mbali ila ninapotumwa nakwenda. Pia anayedhani nina printing kariakoo namruhusu aichukue iwe yake kuanzia leo.
Tena usitake kunichefua wewe.. si wewe ulifumaniwa ukiwa na dada yangu Igunga? Yaani umetuaibisha sana ukoo wetu wewe, na yule dada tumemtenga!