Mkuu this is too low and personal. Tunawahitaji sana watu kama kina Mwigulu hapa jamvini, ila tunapoleta personal attacks and insults tunakuwa hatuwatendei haki na kuwakimbiza. Tuache personal attacks kwa sababu tu watu wanajitokeza kwa majina yao halisi.
Masikini James Kinyasi Millya aumbuka Arusha. Ni Yule mwenyekiti wa vijana wa ccm Mkoa wa Arusha ambaye alifeli mtihani wa kidato cha pili pale moringe sekondari mwaka 1997. Mzungu aliyekuwa anamlea alimuokoa na kumpeleka Uganda.
Vijana wa Arusha Jana walimzomea na kumwaMbia atafute ajira na aache mara moja kutumika na mafisadi. Hii ilitokana na yeye kuandaa maandamamo kule kikatiti.
Ndg wana JF. Kwanza naomba niweke wazi kuwa mtu kuongoza kampen anateuliwa na cc na kupitishwa na nec. Hilo lilifanyika na kwa taarifa tu kuongozakampeni sio starehe na sio jambo la kuombea. Hivyo mimi ningetamani kikombe hicho kipitie mbali ila ninapotumwa nakwenda. Pia anayedhani nina printing kariakoo namruhusu aichukue iwe yake kuanzia leo.
Daa! Umekuwa shapu kupangua tuhuma za leo. Ungefanya hivyo hata kwa tuhuma ile ya Igunga naamini ungekuwa umeitendea vyema historia yako. Maana tayari ina doa.Ndg wana JF. Kwanza naomba niweke wazi kuwa mtu kuongoza kampen anateuliwa na cc na kupitishwa na nec. Hilo lilifanyika na kwa taarifa tu kuongozakampeni sio starehe na sio jambo la kuombea. Hivyo mimi ningetamani kikombe hicho kipitie mbali ila ninapotumwa nakwenda. Pia anayedhani nina printing kariakoo namruhusu aichukue iwe yake kuanzia leo.
Ndg uliye jitambulisha "mj" nakushukuru sio kwamba hatukuitetea JF bali lile lilikuwa swali binafsi tu ambalo lili kuwalinahitaji majibu ya waziri. Ungehiaji maoni yangu kuhusu jf ningekwambia sina tatizo na JF na ikitokea mjadala ni mkali na unamasilahi kwa taifa au unarekebisha tabia au mwenendo hiyo ni kama kioo, kioo kikikutoa unatongotongo usikijunje bali kanawe kitakuonesha vizuri tu. Ni kweli kuna wanaoacha hoja na kwenda nje kwa sababu binafsi hao ndio wapime waone inatija hiyo?
Kwa kuwepo hapa mkuu, utaweza kufafanua uzushi wa baadhi ya watu hapa JF. Kwani wapo wanaJF wanatumia jukwaa hili kwa sababu zao binafsi. Karibu sana mkuu!Wana Jf salam. Naomba kuweka wazi kuwa kika cha cc kufuatana na ratiba kitafayika saa nane hivyo bado hakijafanyika na pia mimi sina report yeyote cos nilifungua kikao tu sikuendesha zoezi hilo. Anayesema hayo ana lengo lake
Nadhani Ndugu Mbunge sasa utakubaliana na JF kwamba ni zaidi ya Social network na ina watu makini, maana mimi nilikuwa ni mmoja wa tulioshika bango ili kusiwe na mis use ya jina la mtu na Nashukuru uongozi wa JF umekuverify kwamba wewe ndiye mwenyewe Halisi. Karibu sana.Nashukuru sana
Ofcoz kuna mambo mengi husemwa hapa na huwa ni ya kusingizia...ukiwachukulia serious watu unaweza kupasuka kichwa ama moyo kwa preshaPole kama unasingiziwe kiongozi........watu wengine wazushi
Of course ukiwa kama Public leder ziko namna nyingi za kushiriki mijadala ya hapa na kujiepusha kuingizwa kwenye emotions za wengine na njia nyingine nzuri unaweza ukaanza kusoma topics kama guest then ukivutiwa kuchangia ndio unalog in.Ofcoz kuna mambo mengi husemwa hapa na huwa ni ya kusingizia...ukiwachukulia serious watu unaweza kupasuka kichwa ama moyo kwa presha