Mwigulu anafaa kuwa Rais ajaye

Mwigulu anafaa kuwa Rais ajaye

Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Zaidi ya kuongeza kodi kwa mwananchi hana zaidi analojua, angekuwa ana uwezo mkubwa angekuja na vyanzo vingine vya mapato.
 
Zaidi ya kuongeza kodi kwa mwananchi hana zaidi analojua, angekuwa ana uwezo mkubwa angekuja na vyanzo vingine vya mapato.
Kwani kama hakuna vyanzo vya mapato ameweza vipi kutekeleza bajeti kwa 95%?

Hizo tozo zimeleta na zinaendelea kuleta mageuzi kwenye sekta mbalimbali kama kilimo,maji ,elimu na barabara..

Siku hizi huwa unasikia kelele za wabunge kukosa pesa za barabara via TARURA?
 
Ni kweli kwa sababu nchi itakuwa inapigiwa kura na maja.bazi na sio wananchi.

Nchi itakuwa chini ya lile genge la Hija kwa mara ya Tatu.
 
'
20220612_062136.jpg
 
Kwani kama hakuna vyanzo vya mapato ameweza vipi kutekeleza bajeti kwa 95%?

Hizo tozo zimeleta na zinaendelea kuleta mageuzi kwenye sekta mbalimbali kama kilimo,maji ,elimu na barabara..

Siku hizi huwa unasikia kelele za wabunge kukosa pesa za barabara via TARURA?
Sasa huo ndio mwisho wa kuwaza kwake, kama kodi kila mtu anaweza weka kodi, hii nchi ina vyanzo vingi vya mapato tofauti na kodi ila yeye mwisho wa kuwaza kwake ni kwenye kodi kodi kila kona yani muamala mmoja unalimwa kodi mpaka basi, niweke ela yangu inakatwa kodi nikienda itoa inakatwa kodi nikaenda mtumia mama inakatwa kodi.
Kuweka kodi kila mtu anaweza tu.
 
Sasa huo ndio mwisho wa kuwaza kwake, kama kodi kila mtu anaweza weka kodi, hii nchi ina vyanzo vingi vya mapato tofauti na kodi ila yeye mwisho wa kuwaza kwake ni kwenye kodi kodi kila kona yani muamala mmoja unalimwa kodi mpaka basi, niweke ela yangu inakatwa kodi nikienda itoa inakatwa kodi nikaenda mtumia mama inakatwa kodi.
Kuweka kodi kila mtu anaweza tu.
Moja ya hivyo vyanzo vingi ni hizo tozo..

Taja hata vyanzo 3 unavyovijua wewe unaewaza Sana.
 
Moja ya hivyo vyanzo vingi ni hizo tozo..

Taja hata vyanzo 3 unavyovijua wewe unaewaza Sana.
Bandari, gas, maadini.
Laiti bandari yetu tu ingeendeshwa vizuri ingeingiza pesa nyingi. Ndo maana kagame aliwah omba apewe bandari ya tanga.
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini watanzania wanafuata bidhaa kampala ambazo zilipita hapa bandarini kwetu ni kisha kuja kuziuza hapa hapa kwa faida?
 
Bandari, gas, maadini.
Laiti bandari yetu tu ingeendeshwa vizuri ingeingiza pesa nyingi. Ndo maana kagame aliwah omba apewe bandari ya tanga.
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini watanzania wanafuata bidhaa kampala ambazo zilipita hapa bandarini kwetu ni kisha kuja kuziuza hapa hapa kwa faida?
Kwani saizi hazitumiki?
 
Kwa maswali yako haya, basi bila shaka utamuona jamaa anafaa kuwa raisi.
Mimi namdisqualify kwenye hulka ya majivuno na ubabe kama Jiwe ila kwingine ni anafaa Vizuri tuu..

Mwingine anaefaa ni Makamba JR sijaona potential aspirants tofauti na hao Hadi mda huu labda akina Gambo ingawa bado Wachanga.
 
Liwe somo watu wenye mambo ya utoto-utoto wa Simba na Yanga jamaa wawe makini sana na nafasi wanazowapa.

Mwigulu mpaka leo aelewi uzito wa nafasi yake nchi zingine waziri wa uchumi, mambo ya ndani na mambo ya nje ni watu wakubwa sana na ndio mawaziri pekee wenye police escort nchi nyingi duniani.

Mtu mwenye kuelewa ugumu wa majukumu yake na sera anazotunga zina impact kubwa kwenye maisha ya millions of people positively or negatively kutokana na maamuzi yake awezi kuwa na muda na upumbavu wa mambo ya mpira.

Huyu mtu anatakiwa atolewe ata hiyo wizara ya fedha. Aelewi gravity ya nafasi yake.

Waanze kuwaangalia wengine kama hakina Mtaka, Jaffo, Biteko na wengineo. Hila Mwigulu na wengine ni Makamba na Kigwangalla hao watu hawafai kupewa majukumu makubwa ni watu ovyo mno.
 
Liwe somo watu wenye mambo ya utoto-utoto wa Simba na Yanga jamaa wawe makini sana na nafasi wanazowapa.

Mwigulu mpaka leo aelewi uzito wa nafasi yake nchi zingine waziri wa uchumi, mambo ya ndani na mambo ya nje ni watu wakubwa sana na ndio mawaziri pekee wenye police escort nchi nyingi duniani.

Mtu mwenye kuelewa ugumu wa majukumu yake na sera anazotunga zina impact kubwa kwenye maisha ya millions of people positively or negatively kutokana na maamuzi yake awezi kuwa na muda na upumbavu wa mambo ya mpira.

Huyu mtu anatakiwa atolewe ata hiyo wizara ya fedha. Aelewi gravity ya nafasi yake.

Waanze kuwaangalia wengine kama hakina Mtaka, Jaffo, Biteko na wengineo. Hila Mwigulu na wengine ni Makamba na Kigwangalla hao watu hawafai kupewa majukumu makubwa ni watu ovyo mno.
Pole mkuu
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Ninamini we ndio ulitumika kuchora kwenye mawe 2015 mwiguru Raisi ajaye,atabaki kuwa Rai'si WA mawe.
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Labda raisi wa wala punda kama sufiani
 
Back
Top Bottom