Mwigulu anafaa kuwa Rais ajaye

Mwigulu anafaa kuwa Rais ajaye

Kodi ndio njia peke yake ya kuingizia Nchi Mapato ? Nchi za wenzetu VAT ni 5% only na miundo mbinu inakimbia kwa speed Ya Hatari , Mwigulu sio waziri peke yake wakuleta vyanzo vya mapato , angesaidiwa na Mawaziri wengine kubuni Vitega uchumi vya Nchi. Taifa lingesonga
Tatizo la nchi yetu ni viongozi kutaka maendeleo ya haraka kwa kutunyonga kiuchumi raia. Yani makodi kibao, tozo juu ila still bado hawafanikiwi.
 
Mwigulu ni tapeli aliyevaa kofia ya pama.
Kashindwa kuiongoza timu ya mpira Singida United hadi ikafa na madeni ya kuzulumu wafanyabiashara Singida ndio wa kupewa nchi? Mba wazimu kweli!
Wizara ya fedha imemshinda hadi inapika data na kudanganya wananchi mpaka kwenye ongezeko mishahara ndio wakuiweza nchi huyu?
Hii nchi ni kwa vile ni ya kondoo, lakini ingekuwa nyingine hata hapo Malawi tuu suala hili la kudanganya nyongeza ya mishahara tena baada ya miaka 5 kupita pangechimbika.
Sio waziri wa fedha tuu, bali haya huyo Loyotua wangefurumushwa na wananchi.
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Nilisoma na mwigulu UDSM . Jamaa ni mnafiki hana anachosimamia.
Tulimwita chief . Uliza wanaomjua
Hafai hata kuwa mbunge
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Huyu huyu anayepeleka uchumi mzobemzobe ndo awe Rais
 
Wa
Yuko vizuri ila sasa ni mbabe na ana dharau..

So long as hato compromise mambo ya uchumi na biashara kama Jiwe mimi sina shida najua atawanyoosha wale wapuuzi wanaotukana hovyo mitandao I kwa kisingizio cha demokrasia..

Mama anawachekea wanajiona ni Washindi
Wakinyooshwa utafaidika nini?
Huwezi kuwa na akili timamu ukafurahia kuona binadamu wenzio wanateswa na binadamu.
 
Pimbi moja iliyoongezewa 25,000/= kwenye salary yake huku bidhaa hazishikiki mitaani imekaa imewaza na hapo ndio mwisho wake wa ufahamu ulipofikia mwisho imepata conclusion hii.

Safari ni ndefu sana Mungu baba toa kipengele cha moto kwa Watanzania maana moto tunakutana nao hapa hapa duniani tukiona kwa macho na akili zetu huku tukiwa na kundi la hovyo kama hili.
Lengo la mchemba ni kueaanyoosha wanaofikiri kwa makalio
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Kwakweli watu wanamlaumu ila uhalisia ni kuwa kama Waziri wa fedha ambàye anatakiwa ahakikishe bajeti ya trilioni 41 inatimia hana budi kwenda na uhalisia wa hali ya uchumi, fikiria ongezeko la bei ya petroli anatakiwa atoe kila mwezi B100, hapo hapo kuna nyongeza ya mishahara japo inaonekana kidogo but cumulatively kwa mwaka ni ongezeko kubwa, revenue bado haijakaa sawa, kuna miradi ya kimkakati JNHPP,SGR. mabarabara,madaraja ,maji afya etc,bado kuna loan repayments kwenye mikopo iliyomature na ya kibiashara,,which takes a huge percentage of our budget, bado atafute hela ya kuendesha serikali OC na maendeleo,yaani demands kila kona! kwa kweli tutamchukia ilankiuhalisia inabidi tumpe moyo na kumsupport ,mzigo alionao ni mkubwa, kila mtu nchi hiii anaangalia chungu chake ambacho anahakikisha kina bakaa.
Mungu amsaidie na kazi iendelee!
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Madelu acha kupima upepo humu! Hujawahi kufaa katika nafasi yoyote!
Huyo mama usimchukulie poa, atakuchoresha usiku wa manane pale unapokuwa umezama kwenye ulozi hutaamini!
 
Licha ya wengi kumbeza katika kazi yake ila huyu jamaa anauwezo mkubwa sana hivyo namtabiria makubwa katika nchi hii na ndio maana JPM aliona mbali kumrejesha katika nafasi ya uwaziri
Mafuta maandishi yenu kwenye mawe na madarajani
 
Kwakweli watu wanamlaumu ila uhalisia ni kuwa kama Waziri wa fedha ambàye anatakiwa ahakikishe bajeti ya trilioni 41 inatimia hana budi kwenda na uhalisia wa hali ya uchumi, fikiria ongezeko la bei ya petroli anatakiwa atoe kila mwezi B100, hapo hapo kuna nyongeza ya mishahara japo inaonekana kidogo but cumulatively kwa mwaka ni ongezeko kubwa, revenue bado haijakaa sawa, kuna miradi ya kimkakati JNHPP,SGR. mabarabara,madaraja ,maji afya etc,bado kuna loan repayments kwenye mikopo iliyomature na ya kibiashara,,which takes a huge percentage of our budget, bado atafute hela ya kuendesha serikali OC na maendeleo,yaani demands kila kona! kwa kweli tutamchukia ilankiuhalisia inabidi tumpe moyo na kumsupport ,mzigo alionao ni mkubwa, kila mtu nchi hiii anaangalia chungu chake ambacho anahakikisha kina bakaa.
Mungu amsaidie na kazi iendelee!
Cc Mwigulu.
Nenda Jimbo lake kila Kijiji kimeunganishwa barabara na umeme na vituo vya Afya.
Kawakusanye wapiga kura wake kumi waulize mbunge ajae ni nani watakutajia wote ni Mwigulu huwezi amini hichi nnachokueleza hili ndo jibu lake.
Kwa kifupi wa kumtoa Ubunge Iramba hamna wakaazi wanamkubali kwa vitendo sio porojo.
Screenshot_20220714-190847.jpg
 
Back
Top Bottom