Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Mwigulu ajipanga kuingusha CHADEMA nchi nzima

Watanzania wananchotaka ni maendeleo .Hizi tarira tarira hazina tija kwa watoto wa wakulima.

SHULE HAZINA WAALIMU WALA MADAWATI MNAKUJA NA UPUMBAVU WA MWIGULU HUKU!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwa sasa watanzania wamejua kuwa slaa alitaka kumuuwa zito kupitia ben saa nane na pia kupitia wao tumejua kuwa matamko ya kila wiki ya slaa huandaliwa na josephine.

Haya mama kachukue chako Lumumba. Mbona huu ushahidi hamuupelekagi sehemu husika? mnaleta porojo tu humu?
 
Yani ulivyokurupuka kuandika haraka haraka hadi unakosea. KUINGUSHA ndio nini?tuliza mapepe Emmy buku 7 utapata tu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mwigulu kwani yeye ni nani hadi aweze kuirudisha medani ya CCM weweeee....ujue umbea na hoja sharti vitenganishwe na hata kama ukilazimishia vikae pamoja watu watagundua tu,hapa hata kwa mtu mwenye akili mbovu kabisha hawezi kuafiki kuwa medani ya CCM itarudishwa n Nchemba(mtu mmoja tu) na hatan kama akiwatoa hao vijana wawili ambao tunawafahamu mno bado ni kazi bure tu maana SIKIO LA KUFA HUWA HALISIKII DAWA....Unachopaswa kujua au kukariri wewe mtoa mada ni kwamba CHAMA HUIMARISHWA NA WANACHAMA WOTE KUAMUA KUIMARISHA CHAMA CHAO NA HIVYO KUUNDA KITU KIITWACHO NGUVU YA CHAMA NA SIO NDOTOP ZAKO ULIZOZIANDIKA HAPO KUTOKANA NA KUWEWESEKA NA UCHAMA NA UKADA MCHANGA UNAOKUPELEKA PUTA...Rejea hata kauli za Mwenyekiti wa CCM ambaye nweza sema alioa mbali zaidi aliposema UMOJA WETU NI USHINDI WETU ila sio kama pumba uliyoandika hapo
 
Siyo CHADEMA wanaojilipua na kusema ni jeshi la POLISI wewe, Mwigullu noma na ndiyo maana kila siku CHADEMA wanahaha mpaka wanatumia Tsh. bilioni 1 kwenye uchaguzi wa kata nne tu pamoja na kutoa mamluki Karatu, Arumeru na moshi.
Hivi kuwa msukule wa masisiem ndio akili uziweke ma------ni namna hii?unaongea hizi pumba una ushahidi nazo?
 
Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Watanzania Mwigulu Nchemba yupo kwenye mikakati mizito ya kuisambaratisha CHADEMA na Kuirudisha Heshima ya Chama Kubwa CCM katika medani za siasa Tanzania. Akiwa katika mapumziko mazito amesema sasa umefika muda muafaka wa kuwajulisha Watanzania nini kipo nyuma ya Chadema amesema watanzania wakae mkao wa kushangilia ushindi.

Aidha amesema ana mpango wa kuwapumzisha vijana wawili ambao wanaonekana ni mamluki kutoka CHADEMA kwani hawakubaliki katika siasa za majukwani na wapenzi wengi wa ccm hasa vijana wa Green guard wanawachukia sana. amesema atakuja na kikosi kipya kilicholelewa na kukulia ndani ya ccm kupitia chipukizi za CCM. amesema vijana hao wawili waliokuwa wanachama na viongozi wa Bavicha ni mzigo kwa chama kwani kila wanapopita huzomewa na hawana uwezo wa kufanya siasa za majukwani.

Mwigulu amesema baada ya mapumziko anayokaribia kuyamaliza atafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika mikoa ya kanda ya ziwa na kusini.

Duh !nimecheka mpaka mbavu zimeniuma jf bwana .Haya mkuu umesikika.
 
Wewe una matatzo binafsi,dr.ndodi amewatangazia watu wenye sifa kama yako na matatzo km uliyo nayo.ushauri kwako wa bure utashanglia wewe na wanasisiemu wenzako si watz na chadema si kikundi cha majambazi km ilivyo ccm.hilo fahamu kuwa haliwezekani.ondoka upo njiani mafisadi wanataka kupola raslimali za nchi.hilo ndilo mwigulu anataka watz tuljue kuwa cdm wanakubalika coz wanatetea maslahi ya watz
 
Mwigulu gani.huyu wa chama cha mafisadi chini yafisadi papa lowasa wa richmond.hana jipya kwa watz
 
yeye akiwa miongoni mwa wanaoshusha hadhi ya hilo lichama kila kukicha, kweli bado anadhani kuwa kuitisha mikutano kwa pesa nyingi na kueleza 'mabaya' ya cdm ndio bora au kueleaza mazuri ya ccm!? Kweli la kuvunda...

Musa Tesha bado amekubali kuzunguka naye nchi nzima? Akili nyingine bana!
 
By ze way, kama anayosema kuhusu Juliana Shenzi na Stella Mwampamba yatafanyika, nawasikitikia hawa vijana, itabidi wachungwe sana maana kwa maamuzi hayo wataweza kujidhuru!
Washazoea kuachika.
Chungu cha pili kikiwatema watatafuta chungu cha tatu,
Huenda wakafunga ndo na Dovutwa.
 
Kada mahiri wa CCM na kipenzi cha Wat anzania Mwigulu Nchemba: Hapo kwenye bold, nitoe mimi! ubaki wewe na hao wenzio
 
Savimbi anajipanga kujisambaratisha mwenye na mpenzi wake funza plus shemeji yake stella.
 
Kaloleni Arusha imemshindwa sembuse nchi nzima. Safari hii atamtumia ludo na issue ya Rwakatare au ataendelea kupiga mabomu?

Mwigulu namfananisha na muuaji aliyejielekezea mtutu akifikiri anamlenga adui kumbe kajilenga mwenyewe na chama chake. Akiamu kuachia trigger ndio mwisho wake na ccm yake kwenye siasa za Tanzania. Itabidi arudi tu kulima alizeti kijijini
 
Tukiwaambia kwamba Nape na Mwigulu hawaivi chungu kimoja baadhi ya watu wanabisha.
Kwa mtu yeyote aliyeisoma hii thread vizuri atanielewa ninachomaanisha.
 
Siyo CHADEMA wanaojilipua na kusema ni jeshi la POLISI wewe, Mwigullu noma na ndiyo maana kila siku CHADEMA wanahaha mpaka wanatumia Tsh. bilioni 1 kwenye uchaguzi wa kata nne tu pamoja na kutoa mamluki Karatu, Arumeru na moshi.

Ni Tanzania pekee nchi ambayo kichaa anaachwa uraiani kama huyu aliekomenti hapo juu.....
Lakini ungetakiwa kuwa "Insane Institute"
 
Anapanga kueleza ubaya wa CDM kwani yeye ni kada wa cdm na haoni ni kama anazidi kukizamisha chama cha magamba?
 
Huyu Mwingulu ni sawa na DEBE tupu haliwachi Makelele
 
Back
Top Bottom