OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mwakalebela alienguliwa kwa sababu hizo hizo, ni wazi huyu jamaa kashapatwa na doa na sio mgombea ubunge tena...
Mwambie akafute barabara alizozichafua Tanzania mzima
Nilimsikiliza juzi didasi masabiri akaulizwa na mwandishi wa habri ITV akasama hawakugawa rushwa bali kila mgombea alikuwa na bajeti yake kwa maana kuna waliokuwa wanatoa buku teni wengine buku wengine buku tano
Kwa hiyo Mwigulu Nchemba bajeti yake ilikuwa ml 10 mleta mada elewa hivyo mengine waachie wana ccm