Akija Ukawa mtamkataa?Eti Sokoine wa pili,haki ya nani,Mzee Sokoine upumzike kwa amani, jinsi ulivyokuwa ukichukia rushwa. Halafu huyu anajifananisha Na wewe, alaaniwe
Eti Sokoine wa pili,haki ya nani,Mzee Sokoine upumzike kwa amani, jinsi ulivyokuwa ukichukia rushwa. Halafu huyu anajifananisha Na wewe, alaaniwe