Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
mlipue kwa bomu kama mlivojilipua arusha
hivi kichaa huwa analipuliwa au anahitaji tiba! na sio mwigulu mwenyewe a bunch of ccm members/leaders are..........as well
mlipue kwa bomu kama mlivojilipua arusha
damu ya watu mliouwa iringa, morogoro, singida na arusha itawatafuna mpaka siku mnaenda kaburini. hongera mwigulu kwa kuyaumbua haya manyang'au
Kama wanastahili kuwa Jela, lakini wapo nje na wanapeta, Mh Mwigulu anahalalisha kauli ya Mh Mnyika aliposema "serikali hii ni legelege". Mwigulu kama top 10 wa CCM, serikali hii inafuata Dira ya CCM, Mwigulu ameshindwa nini kuisimamia serikali hii kuwasweka Jela Mbowe na Slaa? Hii habari sawa na zile hadithi za Abunuwasi "anakata tawi, wakati amelikalia kuti hilohilo"KIMENUKA BUNGENI,MH.MWIGULU NCHEMBA AWALIPUA MBOWE NA DR.SLAA KWA MAUAJI YA NDAGO,IRINGA,ARUSHA NA MOROGORO![]()
ANAPIGILIA MSUMARI KWA KUSEMA "JELA NDIO WANAKOSTAHILI MBOWE NA DR.SLAA "
MBOWE AINAINAMISHA KICHWA CHINI BAADA YA MWIGULU KUMLIPUA,
Ni kiongozi jasiri,ni kiongozi mzalendo,nikijana shupavu,amejitolea kuipigania Tanzania ya kweli,amejitolea kupambana na wahujumu wa nchi popote pale Tanzania,Ni Mh.Mwigulu lameck Nchemba leo tena anafanya kile CHADEMA wapata maumivu yasiyonakifani,Mwigulu nchemba amewalipua kisawa sawa Vioongozi wa CHADEMA wa juu wakiongozwa na Freeman aikael Mbowe na Dr.slaa kuhusika na umwagaji damu za Watanzania wasio na hatia.Ni siku leo asubuhi kwenye kipindi cha Maswali na majibu,Mh.Mwigulu Nchemba akitoa swali la nyongeza anasema "Ndani ya miaka miwili CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe na Dr.slaa wamesababisha vifo Arusha,Ndago,Morogopro na Iringa.Kwa mauaji haya yaliyotokana na ukatili wao na kutojali maisha ya watu kwa viongozi hawa wa CHADEMA.Mbowe na Slaa wanastahili kuwa JELA na walistahili kuwa jela siku nyingi".Anasema Mbunge wa Iramba Magharibi.Baada ya kauli hiyo Ukumbi wa bunge unalindima kwa makofi mazito.Huku upande wa CHADEMA kila mmoja akiishia kukunja sura.![]()
![]()
Safi sana Mwigulu Nchemba,mbona watakukoma sana hawa CHADEMA na mwaka 2015 ndio kabisa kwisha habari yao.
![]()
Kwa hili la Mwigulu na ChademAa huko BUNGENI limewafumbua Wananchi kiasi kikubwa, niko hapa Kinondoni watu wanasema Chadema haiwezi kushinda 2015 hata wafanyeje, maana ubaguzi na hila za kujilipua zinawaogopesha wananchi.
Naibu katibu mkuu wa CCM bara Mwingulu Nchemba akiuliza swali la nyongeza kwa waziri ofisi ya rais utawala bora Mkuchika amesema ni kwa nini viongozi ambao wamesababisha vifo vya watu huko Singida, Arusha akiwataja viongozi wakuu wa CHADEMA; Mheshimiwa Mbowe na Slaa kuwa wafungwe ndio wamesababisha vifo hivyo.
Kama kweli huyu ndio kiongozi wa CCM basi wamekosea kumpatia hiyo nafasi kubwa na adimu ni hivi karibuni tu mahakama ya mkoa wa Singida imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa inawakabili viongozi wa Chadema mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar Kitila Mkumbo na Mwita Waitara kuwa hawana kesi ya kujibu kutokana na huyo nchemba kushindwa kufika mahakamani.
Na pia huku Arusha tume ya haki za binadamu na utawala bora wamekwisha toa taarifa yao na kuituhumu serikali kuwa ilitumia nguvu kubwa na polisi walituhumiwa kuua.
hata ya mende inaafadhaliakili zingine bwana