Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Sasa akimgeukia Dk Slaa nani atagombea urais na Zitto wamemtimua!
Nasema hivyo kwa sbb najua kabisa kwamba atakapofunguka kumhusu Slaa itakuwa kiama!!
Mwigamba ni kati ya wale jogoo walio chinjwa vichwa wanabaki kutapatapa tu
Pure Scrap!Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
Ahaa, kumbe ndo maana wakaamua kumtoa kwenye ubungeeMkuu, Dr Slaa hana tofauti na wapangaji wa NHC ambao baada ya kukaa muda mrefu, wakajiona kuwa wao ndo wenye nyumba na wakaanza kupangisha nyumba hizo. Ndivyo anavyofanya Dr Slaa sasa
Mwigamaba anahitaji ushauri wa ki-saikolojia.
Kama ana ndugu au marafiki huku JF tafadhali msaidieni.
Mwigamba ni kati ya wale jogoo walio chinjwa vichwa wanabaki kutapatapa tu
Mbowe hawezi kumtimua Slaa, yeye mwenyewe bila Slaa si chochote!
Slaa ni mkristo na anafiti katika mfumo wao wanaoutaka katika chama kwahiyo kamwe hatofukuzwa ila atashushwa tu makali yake.
Slaa ni mkristo na anafiti katika mfumo wao wanaoutaka katika chama kwahiyo kamwe hatofukuzwa ila atashushwa tu makali yake.
Padri akifukuzwa kanisa litaendeshwa na nani?
Padri akifukuzwa kanisa litaendeshwa na nani?
:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
Hivi wewe ni binadamu kamili kweli?ama umezaliwa kwa nguvu ya hirizi?
Mimi huwa sinaga unafiki wa kutokuandika ukweli kwahili mnisamehe. JIFUNZENI KUKABILIANA NA UKWELI JAPOKUWA UNAUMA. Poleni sana.