Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 826
- 1,881
Imekuwa kama utaratibu kwa serikali kuongeza mshahara mwezi wa Saba, watumishi wana tashwishi ya kujua kama kuna ongezeko au wasubiri increament wadau mlioko jikoni mtujuze.
Kazi iendelee
Kazi iendelee