Mwezi wa saba sasa hajanikubalia

Mwezi wa saba sasa hajanikubalia

Milale

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
494
Reaction score
189
Habari wana MMU.

Kuna binti nimetokea kumpenda sana ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mpenzi wangu.

Mwezi wa saba sasa umetimia tangu nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba, tena yeye mvulana akiingiia kwa gia ya mkwanja hata namba yke inablokiwa.

Mimi kila sku huniambia kuwa ananifikiria, nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni.

Naomb ushauri wako tafadhali.
 
Pole sana ,kama sasa una mwezi wa saba unamkuza ,aloo ukimpata m'bake. ila mvumilivu hula kilichoiva ila wengine husema chelewa chelewa utamkuta mtoto si wako ,hivyo ujue kama wewe ulikuwa unafukuza kwa mida ya miezi saba wenzio wanakimbia 100m kwa sekunde tu !
 
Pole sana ,kama sasa una mwezi wa saba unamkuza ,aloo ukimpata m'bake. ila mvumilivu hula kilichoiva ila wengine husema chelewa chelewa utamkuta mtoto si wako ,hivyo ujue kama wewe ulikuwa unafukuza kwa mida ya miezi saba wenzio wanakimbia 100m kwa sekunde tu !

shukran kwa ushaul wako mkuu
 
duuhh mwaka wa tatu si balaa
 
Mwezi wa saba?? Huna kazi nyingine za kufanya??

Hakuna wanawake wengine?? Kwanini huyo tu??
 
mkuu usihangaike niige mimi mwenzio demu namtongoza siku ya kwanza akisema nakufikiria mimi mwenyewe namwambia sikutaki natafuta mwingine!!!
mademu wote hawa mkuu!!!!
 
mkuu usihangaike niige mimi mwenzio demu namtongoza siku ya kwanza akisema nakufikiria mimi mwenyewe namwambia sikutaki natafuta mwingine!!!
mademu wote hawa mkuu!!!!

nashukur sana mkuu kwa kunipa mwanga
 
Komaa nae, kitaeleweka tu, usiishie kati kama kazi umeshaianza. Upo kwenye kufikiriwa ila na wewe jitahidi kuchangamsha damu
 
nitajitahidi kutolaza damu mkuu
 
wacha niende kibondo nikakulogee,naskia kuna bibi mmoja kule anakupeleka mtoni unaongea mambo yako yote unayotaka kisha yanakuwa safi...
 
Itakuwa na yeye anakuzimia ila kuna mambo unabugi meen, either maneno yako usikute unamwambia "naomba jibu langu" hakuna mwanamke anasema nimekubali ila vitendo tu utajua, au unavovaa usikute unavaa masuruali ya kipepe kale, au swaga zako hebu jiangalie angalie tena!!!
 
habar wana MUM. kuna binti nimetokea kumpenda sana"Ila tatizo ni kwamba hataki kukubali ombi langu la kuwa na mm'mwezi wa saba sasa umetimia tang nianze kumfuatilia, na kuna wavulana wa kila aina wanamfuatilia ila wanagonga mwamba"tena yy mvulana akiingiia kwa gia y mkwanja hata Namba yke inablokiwa"Mimi kila sku huniambia kuw anifikilia; nifanyeje wadau maana binti nampenda kutoka moyoni; Naomb ushaur wako tafadhali.

miezi saba??? mi siku saba tu akinizingua namuacha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom