Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Waungwana napenda nifike kwa Babu hapo Loliondo na mm nikanywe Juice ya Babu nimegundua juice ya babu ina husika sana katika kuokoa maisha ya mwanadamu. Babu amekuwa ndo kimbilio la wanyonge na matajiri.
Mimi nashindwa kufika kwa babu kutokana na kipato kunikaba jamani naomba michango yenu ya hali na mali sibagui mchango ili niweze kufika kwa Babu niokoe maisha yangu. Mnao penda kuchangia mtu akitangulia mbele ya haki onyesheni ungwana wenu kipindi hiki ambapo sijatangulia mbele ya haki.
Mchango wako naomba unifikishie mm mwenyewe au hawa wafuatao nina imani nao;-
Mchungaji Masanilo
Babu Asprin,
Carina Ti
Kimey
Kutoa ni moyo wala si utajiri waungwana.
Mkono mtupu haulambwi.
Sura sio roho.
Mimi nashindwa kufika kwa babu kutokana na kipato kunikaba jamani naomba michango yenu ya hali na mali sibagui mchango ili niweze kufika kwa Babu niokoe maisha yangu. Mnao penda kuchangia mtu akitangulia mbele ya haki onyesheni ungwana wenu kipindi hiki ambapo sijatangulia mbele ya haki.
Mchango wako naomba unifikishie mm mwenyewe au hawa wafuatao nina imani nao;-
Mchungaji Masanilo
Babu Asprin,
Carina Ti
Kimey
Kutoa ni moyo wala si utajiri waungwana.
Mkono mtupu haulambwi.
Sura sio roho.