Changalucha
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 505
- 582
Nawapongeza TFF chini ya uongozi wa Rais Malinzi kwa uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Celestine Mwesigwa.
Ni matarajio ya wanasoka hapa nchini Kuwa Mwesigwa utatumia ueledi wako na uzoefu ulio nao kukuza na kuendeleza mchezo huo pendwa wa kambumbu. Hongera MWESI.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Ni matarajio ya wanasoka hapa nchini Kuwa Mwesigwa utatumia ueledi wako na uzoefu ulio nao kukuza na kuendeleza mchezo huo pendwa wa kambumbu. Hongera MWESI.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums