Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Katibu mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu TFF Wilfred Kidao amesikitishwa na madai ya aliyekuwa Ofisa wa Yanga Haji Manara kuwa alimuomba msamaha kwa maelezo kuwa Rais wa TFF Wallace Karia, alifanya makosa.
Kidao amesema maneno hayo si ya kweli, na sekretarieti ya TFF haina nafasi ya kuendelea kuzungumzia jambo ambalo tayari limetolewa uamuzi na chombo huru cha TFF.
Kidao amesema maneno hayo si ya kweli, na sekretarieti ya TFF haina nafasi ya kuendelea kuzungumzia jambo ambalo tayari limetolewa uamuzi na chombo huru cha TFF.