P Packysf Member Nov 1, 2011 11 0 Nov 14, 2011 #1 Ibara ya 90 imepitishwa kw ombi la mwenyekiti na c mtoa mada mwanasheria mkuu.Huyu mama anamapungufu sana.
Ibara ya 90 imepitishwa kw ombi la mwenyekiti na c mtoa mada mwanasheria mkuu.Huyu mama anamapungufu sana.
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Nov 14, 2011 #2 mnyika anasoma sana vitu huyu bwana...werema sijui kama anafanya homeworks zake sawasawa
Mzee Wa Rubisi JF-Expert Member Nov 6, 2010 1,757 437 Nov 14, 2011 #3 Packysf said: Ibara ya 90 imepitishwa kw ombi la mwenyekiti na c mtoa mada mwanasheria mkuu.Huyu mama anamapungufu sana. Click to expand... Mbona sikuelewi hapo nani ni nani.? Na nini tofauti yao.? Je pale muelewa ni nani zaidi au wote lao moja.?
Packysf said: Ibara ya 90 imepitishwa kw ombi la mwenyekiti na c mtoa mada mwanasheria mkuu.Huyu mama anamapungufu sana. Click to expand... Mbona sikuelewi hapo nani ni nani.? Na nini tofauti yao.? Je pale muelewa ni nani zaidi au wote lao moja.?
ossy JF-Expert Member Apr 7, 2011 872 143 Nov 14, 2011 #4 naona AG anakinzana na ukweli,huyu jamaa ni kilaza sana...