Mwenzenu sijielewi kabisaaaaaaaaa..!!!!

Mwenzenu sijielewi kabisaaaaaaaaa..!!!!

Anatakiwa afungue kituo cha kule mayatima

Na huyu ni chuo kikuu, no winder hana kazi hadi sasa

poe sana b ut miasha ni mbele na nyumba simama tena kwa kuangalia upande wa pili maisha ni kuchagua!
 
Mie nashindwa kuelewa chuo kikuu mzima unashindwa kujieleza yaani unasoma story zako inabidi ufikirie mwenyewe kuna nini hapa ila kifupi story zako hujazipangilia sasa sijui ndio kutokujielewa huko!?
 
Jipe pole weye usiyeweza vunja biskut afu unajiita power Mabula
Huko vyuo vikuu mnafunzwa nini?

poe sana b ut miasha ni mbele na nyumba simama tena kwa kuangalia upande wa pili maisha ni kuchagua!
 
ukishikwa shikamana,loh huyo wa kwanza ni mke wa mtu bado wamtolea mijicho unatafuta ubaya ww,kweli hujielewi
 
saudari hebu niambie umeelewa nini hapo juu au kwa kifupi hiyo habari hapo juu inasemaje

Kwa kweli mi nilichoelewa huyu jamaa ana mvuto na watoto yatima so ushauri wangu afungue orphanage tu.Siamini mwaname tena umemaliza chuo unashindwa kuorganise story na kuiandika ikaeleweka naona unarukaruka tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli mi nilichoelewa huyu jamaa ana mvuto na watoto yatima so ushauri wangu afungue orphanage tu.Siamini mwaname tena umemaliza chuo unashindwa kuorganise story na kuiandika ikaeleweka naona unarukaruka tu.
dada white hivyo ndo vyuo vyetu maana nimesoma mara mbili mbili sijaelewa anamaanisha nini na anataka ushauri gani
Na hapo mtu anasema amemaliza chuo anashindwa kuunganisha story ya kiswahili ikaeleweka anashindwa kuyatoa mawazo yake kichwani akayaweka kwenye maandishi
 
Last edited by a moderator:
dada white hivyo ndo vyuo vyetu maana nimesoma mara mbili mbili sijaelewa anamaanisha nini na anataka ushauri gani
Na hapo mtu anasema amemaliza chuo anashindwa kuunganisha story ya kiswahili ikaeleweka anashindwa kuyatoa mawazo yake kichwani akayaweka kwenye maandishi

Huruma yake kwa kweli ndo maana anasota mtaani,mtu kama huyu unakuta kwenye cheti kaandikiwa GPA ya 4.2 vyuo vingine bwana vinatoa mizoga badala ya wataalam.
 
Last edited by a moderator:
Achana na mke wa mtu hata kama unampenda sana, ni sumu ndugu yangu. Wewe nenda tu Arusha kaanze na wa kwako. MKE WA MTU MDOGO ANGU NI SUMU OH USIJESEMA SIJAKWAMBIA.
 
story ya kweli!

Ya kweli sawa ila hapa hamna mwanzo wala hitimisho hivyo inatuwia vigumu kuelewa unachomaanisha, vipi kama ukikaa chini na kuindika ukasahihishiwa na rafiki yako then ukaleta kitu poa zaidi.....Hivi umesema ulimaliza chuo au nukuu yangu.
 
dont be bothered life goes life come, every thing may happened due to some reasons! sso ur failure may be challenge to you! start new page........... kwa style nyingine!

Hapa umempiga nani haya mawe au ndio hujielewi tena....Duuuuuuuuuuuuuuuuh kijana unatakiwa ujipange zaidi ya hapa ulipo kuna shida mahali.
 
SAUT hauna kama huyu
Hebu jaribu kurudia sentensi uliyoiandika ndo utaelewa nyie wanafunzi wa saut jinsi gani mna matatizo ya matamshi,sarufi,muundo,mtindo kwenye luha yenu hadi vichwani mwenu.Sorry sikulenga kukudharau ila umenivutia niyaseme haya.
 
Chuo kikuu gani? Hata kuandika ili usomeke vizuri hujui!,!
 
Back
Top Bottom