Mwenzenu nimevurugwa sijielewi

Mwenzenu nimevurugwa sijielewi

Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!

Oh!!!!
She s back, mic u big


Haya sista ushauri huu hapa
 
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!

ha ha ha ha buzi lenye futa !!!! sawa kabisa lara1 uwezi kaba mpaka penaty labda achukue mazoezi ya nguvu ya hiyo kazi..
 
dada usijal tu ni kazi za nje cha kumshauri mwambie asiache kutumia kinga. wakati unampa hayo maelezo lazima muwe kwenye mood nzuri ili yeye achukulie utani huku ujumbe unafika sawa mamy. wanawake wengi tunajidanganya tupo wenyewe ni wachache wenye bahati hiyo wengi tupo watatu watano ila muhimu ni kujali afya yake kama umeshapewa nafasi ya mke.
 

miezi 2 ndoa?!! kiiibooooo
mmechunguzana lini?hiyo
ndio tabia yake uijue kabisaaa
uamue kuvumilia au kama huwezi waachie warembo!!
mi ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
 
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii

Nasikitika kukupa taarifa kuwa umetolewa posa na MLA VICHWA ila na wewe mbona ni mda mdogo mno mmekaa kusomana.
 
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!

Mmmmmm ila wewe hutaki ndoa kabisa
 
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii

Kula kona kama madenge
 
Urafiki wa miezi miwili posa tayari...afu tunajiuliza ndoa za siku hizi hazidumu kwa nin?

Me nlijua umejenga mabondeni au landlord anataka mkwanja na huna so ukatupiwa vitu nje! Kikwetu kwetu ukisema umevurugwa means umelazimishwa kuhama place unaishi.

Umeona eee? Eti miezi miwili af ndoa, kweli unaweza ukaijua tabia ya mtu kiundani kabisa within 2months period of time? Gosh, haya ndio mambo ya kiswahili!
 
piga kibuti. posa k2 gan?? ukikosea kuchagua mume bas ujue umekosea maisha yote, and viceversa
 
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
...umetunga story...unasema jana...mara tena kuanzia iku hiyo....????ivi kibongo bongo ni rahisi hivyo mtu upande nae dala dala atongoze mtu mwingine mbele yako...??? anabipiwa muda mfupi baadee ...anakupa nauli urudi nyumbani akautane na mwanamke aliye mtongoza mbele yako..........HAYA MABO YA KUANGALIA FILAMU ZA AKINA MAMA MUSHKA HIZI...
 
Kaunganisha story za udaku! Ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu![/QUOTE]

njia ya muongo fupi.....
.umetunga story...unasema jana...mara tena kuanzia iku hiyo....????ivi kibongo bongo ni rahisi hivyo mtu upande nae dala dala atongoze mtu mwingine mbele yako...??? anabipiwa muda mfupi baadee ...anakupa nauli urudi nyumbani akautane na mwanamke aliye mtongoza mbele yako..........HAYA MABO YA KUANGALIA FILAMU ZA AKINA MAMA MUSHKA HIZI...
 
daaa ukistaajabu ya mulugo utayaona ya Sista.

Hivi kweli miezi miwili au miaka miwili.Yani miezi miwili na umeshatangaziwa ndoa na mahari mshapokea.

Daa kweli wewe una njaa ya ndoa si bure kabisa.
Yani una stahili hata kuchapwa viboko kabisa,yaani miezi miwili unapokea posa? Daaa ama kweli duniani kuna mengi.

Kwanza ni wazi wewe hii ndoa una hilazimisha kabisa ndio maana unashindwa hata kuhoji vitu kama hivyo tena viko wazi? una tatizo gani wewe?

Alaf kwa jinsi ulivyo andika inaonekana huyu jamaa ana kuburuza sana na sito shangaa siku ukija kusema ume hoji hayo mambo na akakupiga.

Niwazi huyo jamaa amesha kuona wewe ni mjinga ndio maana anafanya hivyo na unaendelea kuvumilia tuuu.

Wewe una sikitisha sana, na hiyo ni miezi miwili tuu, hivi una subiri nini kusema au kumwambia? una subiri nani akusaidie? kwanini hamu ya ndoa hikuumize kiasi hiki? kwa nini hata utaki kujifunza hata kwa yanayo andikwa hapa kila leo?

Kwakweli kila ulio liandika umelisababisha mwenyewe na una stahili kuchapwa viboko.

Siamini kama hii si filamu.
 
Last edited by a moderator:
Mi nlijua umevurugwa kwa maana ya 'kuvurugwa'.

Kumbe umerushwa roho
 
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!



ila we lara 1 kwa kweli unaniachaga hoi sana, ila nakupenda vile unaongea ukweli yaani unafaa kutoa semina za kichen pati kwa kweli....
Kwa kweli huo ndo ukweli wanawake inabidi tuukubali tu japo unauma.....HAKUNA MWANAUME WA PEKE YAKO..wanawake tubadilike we angalia anakujali vipi na amekuweka ndani, basi..vingine mwachie Mungu...kuna wanawake wengine wamekosa hata wa kuwaweka ndani....tuombe waende salama warudi salama baaaaaaaaaass...
 
Duh! nilidhani umevurugwa kweli, maana nilianza kufikiri mengine. Pole kaza mwendo la sivyo utabaki na manyoya
 
Inawezekana ww ndo wife material na ndo unafaa kuolewa. Wengine anawafanyia mazoezi tu.
We hupendi ndoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom