sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
- Thread starter
- #21
Haya sakapal na night shift zako, sijui kwa nini sir God hakutuwekea usometer? (Equivalent to odometer), ili mtu akitaka kujuaumetumikaje basi anasoma tu! Sijui kama ungekuwa na ujasiri wa kusifia hiyo night shift!!
Mungu alikuwa na akili sana na alijua watakuwepo watu wa kutaka kujua odometer za wenzao ilhali za kwao pia zinasomeka ndo maana akaweka iwe siri ya mtu na mungu mwenyewe. Burudika na night shift best.