Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,430
kwetu hakuna kitanda wanaume wote tunakwenda kulala juu ya miti.Nalog offnitakaa kwenye kitanda
kwetu hakuna kitanda wanaume wote tunakwenda kulala juu ya miti.Nalog offnitakaa kwenye kitanda
hakuna shaka we kaa hapa chini uanze kutafuna maembe.Nalog offhiyo kali ila kama hakuna mkeka hata chini nitakaa
ahsante,ila hiyo avatar yako ulipata kiss lini mara ya mwisho
dah hata mi nimeshakuhisi we ni beautiful girl,hapa nipo hoi,tabasamu lako tu mpaka natamani kukuhugAlafu wewe kaka mgeni ni handsome boy.... basi mimi ugonjwa wangu uko kwa ma-handsome kama wewe , hapa niko hoi bin taaban hata nimeshindwa kutoa ukaribisho nimebakia kukodolea hzo dread zako!!! Karibu mwaya pita sebuleni hadi huku chumbani, jiskie uko nyumbani kwako!!
dah hata mi nimeshakuhisi we ni beautiful girl,hapa nipo hoi,tabasamu lako tu mpaka natamani kukuhug
sijakuona mapema,nitaikanusha kauli yangu na pale nimeona kabakabana ana mme wake,ila mi kwako tu bin taaban,nihurumie mwenzioKweli eeeh, ningekuruhusu hug lakin kule nimekuona umemuita kabakaba na kumpatia offer..........mh naogopa, imebidi niuzuie moyo wangu hata kama uko hoi bin taaban,
sijakuona mapema,nitaikanusha kauli yangu na pale nimeona kabakabana ana mme wake,ila mi kwako tu bin taaban,nihurumie mwenzio
unanionea jamani,mbona unautesa moyo wangu hivo,naomba usinisemee kwa mods,kabakana yeye mbona alishanikana na kuniambiaLabda ukaifute ile kauli kule ndo urudi hapa kwangu ntakuruhusu uni hug....., la sivyo ntakusemea kwa mods....
unanionea jamani,mbona unautesa moyo wangu hivo,naomba usinisemee kwa mods,kabakana yeye mbona alishanikana na kuniambia
amempa mmewe 100% so najisumbua...ila we ni kila kitu kwangu
hayo yote naweza,tena ukinipenda ndo nitafurahi sana mana mi nimeshakupenda kupita kiasiMbona hueleweki, mara ya kwanza umeomba uni hug, sasa unadai mimi ni kila kitu kwako....mhhhh!!! oukeeey, utaniweza lakini??uko tayari kupendwa na kupenda????
hayo yote naweza,tena ukinipenda ndo nitafurahi sana mana mi nimeshakupenda kupita kiasi
nitakuja kukuchukua jamani usijali,kuhusu gari na atm bado naumiza kichwa dia,ila usijali kabisaSasa dia, Uko tayari kutuma nauli nije kukusalimia...kuna mwenzako alilalamika hapa alituma nauli mhusika hakwenda sehemu ya tukio....., pia ATM card yako ni muhimu niimiliki, hati za nyumba, kadi za magari yako itabidi uviripotishe ndo mazungumzo yaendelee mpnz, vp hapo???
nitakuja kukuchukua jamani usijali,kuhusu gari na atm bado naumiza kichwa dia,ila usijali kabisa