mwenzenu leo nimejiunga

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,229
Nimejiunga wanajamii forum,natumaini huku mko poa ,nimewaletea zawadi
 
karibu ukaribie,upewe kiti ukalie na kitako utulie,wewe lete tu hizo zawadi hakuna kokoro wala nini.Nalog off
 
karibu mwaya na maembe yako njoo huku nikuoneshe kwakuyaweka..
 
dah sasa hiyo ndo kula gani,halafu mbona hujalog off
Sisi tunataka maembe tu kibao hatukitaki,ndio maana nikakuambia kwa kuwa kwetu hakuna kiti/mkeka/jamvi basi utakalia katika hiko kibao ulichokuja nacho.Nalog off
 
usijali kwetu pwani hivo ndio tunavokaribisha wageni hasa wenye majina ya kidhungu kama wewe..karibu mwaya..
ahsante,ila hiyo avatar yako ulipata kiss lini mara ya mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom